Hesabu za Membe hazipo sawa sawa

Membe hana ushawishi, hata ACT- Wazalendo wanajua hilo. Lakini kuna mambo mawili ya kutafakari: 1. ACT wanataka wamtumie angalau kuwapa mbunge mmoja kule kusini. 2. Wanataka kumtumia ili kuwachokoza Chadema na baadaye kuisaidia CCM ( do not trust both Zitto & Maalim). Kwanza, ACT watahubiri coalition yenye kutaka Chadema na ACT wawe na mgombea mmoja ambaye ni Membe, na Chadema haitakuwa rahisi kuwakubalia, na ndipo wimbo wa kwamba Chadema ni wabinafsi na wapenda madaraka utaachiwa hewani ili kuwapaka matope CDM!
 
Endelea kuota
 
Ugumu ambao upinzani unaenda kukutana nao ni dola tu hakuna kingine ccm kama ccm iliishakufa kitambo sana zaid kinachowasaidia kwa sasa Ni dola tu kama kuna anaebisha aje na facts haf waruhusu tume huru tuone kama watapata hata 30% ya kura
Umeisha hiyooo
 

Mnajitekenya na kucheka wenyewe. Hivi mpaka sasa kuna threads ngapi mmeanzisha kujaribu kuonyesha Membe si lolote si chochote? Mbona hamumuongelei Nyalandu? Nae si alikuwa CCM?

Ukweli ni kwamba MNAMUHOFIA MNO MEMBE kwa sababu kuu mbili, moja ipo bayana nyingine haipo bayana. Iliyo bayana, UJASUSI wa Membe. Isiyo bayana, haijulikani wapi anapata ujasiri alionao. Na pengine cha kuongeza hapo ni haieleweki kwanini Magufuli anamuogopa Membe kiasi hicho.

Kinyago mmekichonga wenyewe sasa chawatisha 🤣🤣🤣
 
Zitto mwaka 2015 alibebwa na ccm.

1. Alipo pora chama cha act wazalendo kwa nguvu system ikamsaidia mahakamani.

2. Ubunge wa kigoma mjini system na akawa mbunge pekee wa act wazalendo.

3. Kesi zote za zitto huamuliwa na system.


4. Zitto aliye isaliti chadema ndio huyo huyo hata sasa hajabadilika.

5. Membe katumwa na ccm/system .

Membe 2025 atakua kama mrema kulambalamba viatu vya wana ccm.


Membe hana point yoyote ya kumshinda magufuli, alijilimbikizia mahoteli kule mtwara akisubiria mafao yake ya uporaji wa gasi.
 
Mimi kwa mawazo yangu tu,Kama.ACT WAZALENDO wanataka kujiharibia Membe apitishwe kugombea urais,hawataamini kinachotokea.Wanaotoka
 
Yes, but pia Tuvuke na mipaka hadi Malawi, Zambia, Kenya... Kisha tulinganishe na hali ya tz. Chochote chawezekana. Even people in rural understand ...


Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…