wingatereza
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,334
- 1,719
Naombeni ushauri.
Mimi hesabu ni mweupe na zimeninyima fursa za kimaisha na nikimwangalia mwanangu naona naye kama mweupe vilee ila nagombana naye ili asikose fursa kama nilivyokosa mimi.
Nishaurini kama nimsisitize zaidi tufosi hivyo hivyo au nikaushe?
Mimi hesabu ni mweupe na zimeninyima fursa za kimaisha na nikimwangalia mwanangu naona naye kama mweupe vilee ila nagombana naye ili asikose fursa kama nilivyokosa mimi.
Nishaurini kama nimsisitize zaidi tufosi hivyo hivyo au nikaushe?