Hapa unatupiga kamba mkuu. Kama ni kuweka mabano yanaweza kuwekwa vyovyote vile na bado hizo arithmetics zikafanyika - si lazima kwenye kuzidisha!.Wakuu Jawabu ni 49
Unaheshimu kuzidisha na kugawanya, hivyo weka mabano.
(5 x 5) - (5/5) + (5 x 5) =
25 - 1 + 25 = 49
Asante kwa wote mlio jaribu
Hapa unatupiga kamba mkuu. Kama ni kuweka mabano yanaweza kuwekwa vyovyote vile na bado hizo arithmetics zikafanyika - si lazima kwenye kuzidisha!.
5 x (5 - 5)÷(5+(5 x 5))=>0
(5 x 5) - (5÷5)+(5 x 5) =>49
5 x ((5 - 5)÷(5+5)) x 5 =>0
(5 x 5) - ((5÷5)+(5 x 5)) =>-1
5 x (5 - ((5÷5)+(5 x 5))) =>-105
etc
MKUU NILICHUKULIA POA HII HISABATI YAKO NILIKAAMUA KUIFANYIA KICHWANI
NIKAPATA -1 DU!!!!! AHSANTE KWA MASAHIHISHO =49 =NILIVYOTUMIA VITENDEA KAZI .
UTATA: (Utata upo hapa: ni 1+25=26 au -1+25=24?)
&&&& JE (-) TUNAICHUKULIA KAMA KUTOA AU (-) KAMA (HASI IE NEGATIVE).&&&&&&
MKOKOTOO ULIOTUMIKA: MAGAZIJUTO
jibu ni c
Jibu ni = -1
Perfect. Ulisema kama mabano hayapo "unaweka" kwenye multiplication (na division) - hii la "kuweka" mabano halina ulazima kwa sabau order of operations (BODMAS) tayari ina dictate uanze kuzidisha (kugawanyanya) kabla ya kujumlisha (na kutoa). Kuweka mabano ni technique ya grouping ili kuonesha ku-override order of operations.Ha ha ha ha ha hapana mkuu. Kama umepewa hesabu kama nilivyo toa hapo mwanzo bila ya mabano, na hiyo hesabu ina "plus" "Minus" Multiplication and Division basi lazima uheshimu Multiplication and division. Ndio maana nikaweka mabano kwenye "multiplication" na kwenye division, MULTIPLICATION AND DIVISION MUST BE COMPLETED BEFORE ADDITION AND SUBTRACTION.
Ingia hapa kwa msaada zaidi wa "ORDER OF OPERATIONS"
ORDER OF OPERATIONS
Yaani wametuburuza mahakamani wakati sisi ndiyo tunawafundisha hesabu! Sasa subiria wataona umuhimu wetu.