Hesabu Darasa la 4

Hesabu Darasa la 4

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,093
543054_261520440613207_2092784694_n.jpg
 
Mbona mie napata -1? (Kwa kutumia BODMAS/MAGAZIJUTO). Inabidi nirudi darasa la nne au?

MAbano=>(hakuna)=> 5x5-5÷</SPAN></SPAN>5-5x5
GAwanya=> (5÷</SPAN></SPAN>5 =1) => 5x5-1+5x5
ZIdisha=> (5x5=25, 5x5=25) => 25-1+25
JUmlisha=> (1+25=26) => 25-26 (Utata upo hapa: ni 1+25=26 au -1+25=24?)
TOa => 25-26 = -1 (au ni 25+24=49?)
 
Naona kila mtu anakuja na jibu lake ... na wengine wanalamika ... mwenye marking scheme .. kaingia mitini!

Mwalimu gfsonwin .. naomba utusaidie jibu! ... au wewe unafundisha kemia?!

Anyway, hii ni kuonyesha namna gani tatizo la Hesabu (hisabati) lilivyokuwa ni tatizo la Kitaifa hapa nchini kwetu Tanzania!
.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
MAGAZIJUTOoooooooooooooooooooooooo ANSWER IS C!! 49
 
Samahani wote kwa pamoja.
Mi sikuiona alama ya kugawanya coz natumia simu.
Baada ya kucheck vizuri nimepata jibu ni C.
'am sorry.
 
mmekosa wote,hamjaambiwa mfanye kwenye instruction ata kama mmefanya,hujui kama umeambiwa uprove au ufanye nini,mimi nasubiri insruction
 
Back
Top Bottom