mbweta
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 600
- 81
Jamaa mmoja alipata nafasi ya kwenda mbinguni akakutana na Mt Petro aliye kabiziwa funguo za mbingun na dunia na mazungumzo yao yakawa hivi.
Jamaa: Nadhan weye ndie Mt Petro?
Mt Petro: Ndio mimi ndie.
Jamaa: Umewezaje kukaa hapa getini miaka yote hiyo?
Mt Petro: Huku mbinguni miaka elfu ni kama sekunde na mabilioni ya pesa ni kama senti
Jamaa: Kusikia vile fastafasta akamwambia basi niazime senti
Mt Petro: Usiof subiri dakika moja tu.
Jamaa: Nadhan weye ndie Mt Petro?
Mt Petro: Ndio mimi ndie.
Jamaa: Umewezaje kukaa hapa getini miaka yote hiyo?
Mt Petro: Huku mbinguni miaka elfu ni kama sekunde na mabilioni ya pesa ni kama senti
Jamaa: Kusikia vile fastafasta akamwambia basi niazime senti
Mt Petro: Usiof subiri dakika moja tu.