kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,151
- 16,140
Hadithi za watu wa kale walikuwa wanasema wakoloni wanapotaka kufukia mali zao walitumia mazindiko ya kuwazika watu hai,sasa hii karne ya sasa GSM na Hersi wamewamaliza na kuwachukulia akili zao watu wa uto kuanzia leo hata mambo yaende kombo mashabiki wa uto watakua hawana uwezo wala kauli wamefunikwa na kufumbwa mdomo kabisa kwa kupewa nyama za fisi!