Tumeona ya jana jinsi kocha wa Gaborone alivyopigwa ngumi na staff wa Yanga bila sababu yoyote ya msingi.Hiyo nawaambia ni trela tu picha lenyewe linakuja pale nyuma mwiko watakapopoteza mechi muhimu kwenye hii ligi wanayoitawala nje na baadae ndani ya uwanja.
Huyu mtu amefanikiwa kuufanya mpira uwe uadui na siyo mchezo wa furaha tena.
Natoa wito kwa CAF kuwachukulia hatua kali sana kwani walitumia mbinu ya kuwatishia Gaborone FC ili wacheze kwa hofu na wspoteze mchezo.
Huyu mtu amefanikiwa kuufanya mpira uwe uadui na siyo mchezo wa furaha tena.
Natoa wito kwa CAF kuwachukulia hatua kali sana kwani walitumia mbinu ya kuwatishia Gaborone FC ili wacheze kwa hofu na wspoteze mchezo.