Hermani Kapufi, Mkuu wa Wilaya ya Same, anaiharibu Same

Hermani Kapufi, Mkuu wa Wilaya ya Same, anaiharibu Same

Mapengo 17

R I P
Joined
Mar 28, 2014
Posts
1,228
Reaction score
618
Wanajamvi niko safarini , ila leo nimepita hapo Same mazingira yake sijayaelewa vizuri kwamaana ya eneo lenyewe kwa ujumla naona limekaa hovyo hovyo tu, Same haikua hivi. Hao Viongozi wanafanya nini?

Mtu anayejua utendaji wa huyu Mkuu wa hii wilaya, Hermani Kapufi, atusaidie walau sifa zake na jinsi anavyofanya kazi. Hivi kweli ana nia ya kuwasaidia wana same?

Same ilitakiwa iwe imepiga hatua. Hawa Viongozi wetu wanakaa Ofisini tu.
 
Yaani eneo lake limekaa hovyo hovyo kivipi? Uchafu? Mipango miji hovyo? Au miundo mbinu hovyo? Ama uhalifu?
 
Acha kunitafutia ban wewe ndiye, umefungua akaunti juzi tu alafu unataka kuleta ushakunaku wako hapa.
 
Last edited by a moderator:
Mwalimu huyo, vipi ana under perform? Hajaenda kwao kutangaza nia ya ubunge?
 
Wahusika wapo humu ndani...
Subiri wamalize kufuturu na kuitafakari hotuba, watakujibu majibu fasaha.
Na pia yupo Mh mmoja mama yake mdogo ni Mh Deputy Min na MP wa Same. Atakuwa na uelewa wa Same.
 
Yaani eneo lake limekaa hovyo hovyo kivipi? Uchafu? Mipango miji hovyo? Au miundo mbinu hovyo? Ama uhalifu?

Ni moja ya wilaya kongwe hapa nchini lkn inamatatizo lukuki haiendelea hata kidogo. Mipango miji mibovu sana miundo mbinu kama barabara haipendezi ni mibovu sana.

Nakumbuka wakati nasoma hapo hedaru sec chini ya Singo na wakati huo akiwa mbunge wa same alishawahi kusema same haiwezi kuendelea kutokana na ubinafsi wa wananchi wa same na ukabila uliojaa hapo.
 
Wanajamvi niko safarini , ila leo nimepita hapo Same mazingira yake sijayaelewa vizuri kwamaana ya eneo lenyewe kwa ujumla naona limekaa hovyo hovyo tu, Same haikua hivi. Hao Viongozi wanafanya nini?

Mtu anayejua utendaji wa huyu Mkuu wa hii wilaya, Hermani Kapufi, atusaidie walau sifa zake na jinsi anavyofanya kazi. Hivi kweli ana nia ya kuwasaidia wana same?

Same ilitakiwa iwe imepiga hatua. Hawa Viongozi wetu wanakaa Ofisini tu.
Huu ni Ukuda!!
 
Ni moja ya wilaya kongwe hapa nchini lkn inamatatizo lukuki haiendelea hata kidogo. Mipango miji mibovu sana miundo mbinu kama barabara haipendezi ni mibovu sana. Nakumbuka wakati nasoma hapo hedaru sec chini ya Singo na wakati huo akiwa mbunge wa same alishawahi kusema same haiwezi kuendelea kutokana na ubinafsi wa wananchi wa same na ukabila uliojaa hapo.

Sasa huko vijijini kupoje? Same wanaendekeza sana ngono
 
Mbunge wenu ni nani na anafanya nini? Huenda koda ni lake na si la Kapufi!!!!
 
Back
Top Bottom