Heri ya pasaka wanajamvi. Habari za usiku huu.
Mkuu wa wilaya amezidi ubabe. Anawafanyia ubabae watumishi wa umma na anajidai hakuna wa kumgusa hata akifanya lolote. Kwani analazimisha watumishi wote kuchangia pesa sh 20,000 kwa ajili ya mbio za mwenge ambapo watakaochangia lazima waandikwe majina na wasiochangia pia waandikwe majina.
Taasisi zote amezielekeza zichangie pesa na wakuu wa idara wakuu wa taasisi kila taasisi kuchangia 100,000. Na amesisitiza taasisi ambazo viongozi wake hawatchangia atawawajibisha kwa kuwashusha vyeo pia kasisitiza pia watumishi ambao hawatochangia watawajibishwa kwa kutowapa kazi za kitaifa zinazotokea halmashauri.
My take: Hivi mbio za mwenge zinapoanza si huwa kuna bajeti kabisa imeandaliwa sasa hizi pesa wanazokusanya huyu mkuu wa wilaya anazipeleka wapi? Àu ndo fungu la kumi au kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake?
Mkuu wa wilaya amezidi ubabe. Anawafanyia ubabae watumishi wa umma na anajidai hakuna wa kumgusa hata akifanya lolote. Kwani analazimisha watumishi wote kuchangia pesa sh 20,000 kwa ajili ya mbio za mwenge ambapo watakaochangia lazima waandikwe majina na wasiochangia pia waandikwe majina.
Taasisi zote amezielekeza zichangie pesa na wakuu wa idara wakuu wa taasisi kila taasisi kuchangia 100,000. Na amesisitiza taasisi ambazo viongozi wake hawatchangia atawawajibisha kwa kuwashusha vyeo pia kasisitiza pia watumishi ambao hawatochangia watawajibishwa kwa kutowapa kazi za kitaifa zinazotokea halmashauri.
My take: Hivi mbio za mwenge zinapoanza si huwa kuna bajeti kabisa imeandaliwa sasa hizi pesa wanazokusanya huyu mkuu wa wilaya anazipeleka wapi? Àu ndo fungu la kumi au kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake?