Hermani Kapufi, Mkuu wa Wilaya ya Same, anaiharibu Same

Hermani Kapufi, Mkuu wa Wilaya ya Same, anaiharibu Same

Inaonekana huyu mleta thread hajui kabisa majukumu ya DC!
Ndo maana unamshambulia?Wewe unayewatetea hebu tujuze kama wakuu wa wilaya wana kazi ya maana zaidi ya umbeya kwa chama ,ushikaji na zawadi kutoka kwa...
 
mazingira ya same yanaonekana!! wala sio kazi ya mkuu wa wilaya hapo!!!
mtoa maada kuwa makini.
 
Kazi za maendeleo na ustawai wa jamii na idara zote kwa maana hiyo ziko chini ya Mkurugenzi. Lakini ili Mkurugenzi atimize majukumu hayo kwa uhuru, ulinzi na usalama hilo ndo jukumu la DC.
 
Herman kapufi ni mmoja wa akuu wa wilaya anayeongoza kwa kusababisha uchochezi wa wafugaji na wakulima na mlarushwa yaani amesababisha vifo vya wakulima hafai kuw kiongozi
 
Huyu jamaa ni wa hovyo sana. Kupeana madaraka kwa kujuana. Alikuwa mwalimu huko mpanda sijui... Hana vigezo vya kuwa kiongozi. Ni mropokaji mzuri
 
Mkuu wa wilaya Same Bw Kapufi ni mwenyeji wa Sumbawanga ni mfipa ni mwalimu kitaaluma anaelimu ya masters. Kama mwalimu alishafundisha Mwanza na Shinyanga miaka kadhaa kabla ya kuteuliwa ukuu wilaya alikua SLO Sumbawanga Manispaa. ni mtu mpenda sifa sana na totozi ni kada maarufu wa ccm

UOTE=Mapengo 17;13229621]Wanajamvi niko safarini , ila leo nimepita hapo Same mazingira yake sijayaelewa vizuri kwamaana ya eneo lenyewe kwa ujumla naona limekaa hovyo hovyo tu, Same haikua hivi. Hao Viongozi wanafanya nini?

Mtu anayejua utendaji wa huyu Mkuu wa hii wilaya, Hermani Kapufi, atusaidie walau sifa zake na jinsi anavyofanya kazi. Hivi kweli ana nia ya kuwasaidia wana same?

Same ilitakiwa iwe imepiga hatua. Hawa Viongozi wetu wanakaa Ofisini tu.
[/QUOTE]
 
Wanajamvi niko safarini , ila leo nimepita hapo Same mazingira yake sijayaelewa vizuri kwamaana ya eneo lenyewe kwa ujumla naona limekaa hovyo hovyo tu, Same haikua hivi. Hao Viongozi wanafanya nini?

Mtu anayejua utendaji wa huyu Mkuu wa hii wilaya, Hermani Kapufi, atusaidie walau sifa zake na jinsi anavyofanya kazi. Hivi kweli ana nia ya kuwasaidia wana same?

Same ilitakiwa iwe imepiga hatua. Hawa Viongozi wetu wanakaa Ofisini tu.

kama unaipenda same....mbona umeikimbia?yaani kupita tu umeshatathimin utendaji wa mkuu wa wilaya....ACHA UMBEA!
 
Back
Top Bottom