Heri Zitto Kabwe kuliko Dr.slaa

Heri Zitto Kabwe kuliko Dr.slaa

Kama Chadema wanafikiri Dk. Slaa ni nothing ndani ya chama wafute hayo mawazo kabsaa na badala yake watafute maridhiano nae kwa udi na uvumba.
Dk. Slaa kakitumikia chama kwa uaminifu na kwa muda mrefu, huwezi ongelea Chadema ya leo hii bila kumtaja Dk, Slaa ni icon ya Upinzani Tanzania hii
Ni vema wamtafute wafikie maridhiano au wakubali kutokukubaliana ndio zoezi hili lieendelee.

Mkuu The dream, hilo haswa ndilo linalotakiwa kutoka pande zote. Top leaders na Dr. Slaa waongee wayamalize hata kukubaliana katika kutokubaliana. Dr. Slaa kususa au kukaa kimya Ni kutuumiza sisi wapenda mageuzi/mabadiliko na kuruin legacy aliyojijengea kwa muda mrefu ndani na nje ya nchi Kama katibu mkuu WA upinzania Tz mwenye mafanikio makubwa.

Plse! Plse! Dr. W.Slaa let us focus on the target at this particular time.
 
Last edited by a moderator:
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi

Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.

Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.

Laana itamtafuna huyu mzeee

Kama kawaida yenu mnaanza kumtusi sasa jinsi mlivyokua hamna adabu vigeu geu
 
Mi naona swala la Slaa kutokubaliana na wenzake lina sura mbili ambazo zina mchanganya. Hata ingekuwa ni wewe hebu fikiria unafanyaje maamuzi ya haraka
1. Slaa alijijengea umaarufu yeye pamoja na chama chake kwa kujitanabaisha kuwa ni mchukia ufisadi na mafisadi hadi tone lake la mwisho la damu. Hii imemfanya watu wampende na kumwona ni mkombozi wa kweli. Watu kama lowasa walikuwa wanamjengea sana jina slaa pindi asimamapo jukwwani na kuanika mabaya yao.. sasa iweje leo hii ageuke kirahisi hivyo amnadi yule aliyemtukana na kumjengea jina kuwa mpambana ufsadi? Hata kama nia ni kuitoa ccm madarakan lakini sio rahisi kwa mtu kama slaa kukaa meza moia na kumsifu fisadi lowasa. Mjue wazi lowasa akianza kampeni ataunganisha na lile genge lake la wezi ili kuongeza nguvu. Kweli leo slaa akacheke na chenge na rostam ? Ni ngumu kuswallow hata kama n wewe
2. Yeye mwenyewe Slaa anatamani sana uraisi. Hataki kulionesha hilo wazi lakini anatamani sana. Na ametumia nguvu n na muda mwingi kufanya watz wampende na kiasi alifanikiwa.sasa leo umwambie kaa benchi wenzio wachukue nchi hivi unafikiri ni rahisi? Wangapi wameenda hata kuroga ili aupate hata umeneja tu? Vipi uraisi?
Yuko katika wakati mgumu
Mwacheni atake time to think
Its not easy?
 
Slaa kafanya mazuri mengi kwa Chadema Lkn kitendo anachokifanya sio sahihi, ina maana tuseme kuwa Dk aliwekeana mkataba na mkewe waoane kwa malipo ya u-first lady?.Kama kweli Dk una nia ya dhati ya kuikomboa nchi kutoka mikononi mwa ccm ungana na Lowasa ktk kampeni.Shame on u Dk Kama utaendelea kukaa kimya na kutengeneza headline kwenye vyombo vya habari ambavyo havionyeshi kujenga bali kubomoa.
 
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi

Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.

Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.

Laana itamtafuna huyu mzeee

kapime hakili kama iko timamu, usitake kuambuza na wengne ujinga.
 
Mi naona swala la Slaa kutokubaliana na wenzake lina sura mbili ambazo zina mchanganya. Hata ingekuwa ni wewe hebu fikiria unafanyaje maamuzi ya haraka
1. Slaa alijijengea umaarufu yeye pamoja na chama chake kwa kujitanabaisha kuwa ni mchukia ufisadi na mafisadi hadi tone lake la mwisho la damu. Hii imemfanya watu wampende na kumwona ni mkombozi wa kweli. Watu kama lowasa walikuwa wanamjengea sana jina slaa pindi asimamapo jukwwani na kuanika mabaya yao.. sasa iweje leo hii ageuke kirahisi hivyo amnadi yule aliyemtukana na kumjengea jina kuwa mpambana ufsadi? Hata kama nia ni kuitoa ccm madarakan lakini sio rahisi kwa mtu kama slaa kukaa meza moia na kumsifu fisadi lowasa. Mjue wazi lowasa akianza kampeni ataunganisha na lile genge lake la wezi ili kuongeza nguvu. Kweli leo slaa akacheke na chenge na rostam ? Ni ngumu kuswallow hata kama n wewe
2. Yeye mwenyewe Slaa anatamani sana uraisi. Hataki kulionesha hilo wazi lakini anatamani sana. Na ametumia nguvu n na muda mwingi kufanya watz wampende na kiasi alifanikiwa.sasa leo umwambie kaa benchi wenzio wachukue nchi hivi unafikiri ni rahisi? Wangapi wameenda hata kuroga ili aupate hata umeneja tu? Vipi uraisi?
Yuko katika wakati mgumu
Mwacheni atake time to think
Its not easy?

wanajifanya hawajui ugumu wa maamuzi unao mkabili huyu mzee kuhusiana na tukio lililotokea, wanamuona msaliti na kuanza kumtukana .
 
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi

Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.

Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.

Laana itamtafuna huyu mzeee
Magamba mmevurugwa cku dr aktoka hadharan na kukanusha uongo wenu mtakamatwa na matumbo ya kuha......????
 
Laana utapata wewe unayemtukana asiyekutukana. Leo unaona Slaa msaliti kwa sababu ya Lowassa aliyevamia chadema? Kati Mbowe na Slaa nani kamsaliti mwenzie?
Kweli ujinga ni mtaji wa wenye hela.

Sure, anachoandika ndio ujinga
 
Dhambi ya kukaribisha lifisadi imeanza kuwatafuna mapema namna hii? Hata huyu Padri aliyejitolea maisha yake yote kukitumikia chama na kukifikisha hapa kilipo naye mmeanza kumpiga jaramba?

Chonde chonde jamani. Kuna mamilioni ya watu ambao kwa mara ya kwanza wanategemea "ukombozi" kutoka kwenu japo kwa sasa wako disillusioned na hawana uhakika kama Lowassa ndiye mkombozi waliyekuwa wakimsubiri. Angalieni basi msiwaangushe. Please!

Nguvu ya Dr Slaa ya sasa si kama ya 2010.Tunampenda Dr Slaa lkn kama hataki ushindi tufanyeje sasa na aende tu japo ni pengo kubwa kumpoteza Dr Slaa.Anyway na aende tu sie tunasonga mbele
 
Dk. Slaa kwenye siasa pamekuwa pachungu..... kurudi kwenye upadri hawezi kaishaonja raha ya tendo la nd.a
 
Slaa hawez hama chadema kamwe..anasubiri ccm waibue lao likikamata fikra za watu ndio aje kuzirudisha...chadema haina viongozi wajinga kiasi hicho
 
Nina hasira sana mkuu kwa huu usaliti wa huyu mzee
Wewe punguani kweli nimeamini nyumbu hawawezi kuisha.

Una hasira na nini na ujinga? pesa za fisadi kuchukuwa Mbowe, badala ulie na Mbowe kauza chama chenu unamshambulia Dr.Slaa.

Tehe teh teh
 
Inashangaza kuona baadhi ya watu wanaojiita ni wafuasi wa CHADEMA leo wakimtolea maneno ya dhihaka na kejeli Dr Slaa,wakimwona ni tatizo katika mapambano yao ya kutwaa dola,eti kwa vile Dr Slaa ametofautiana na wenzake ndani ya chama juu ya ujio wa Lowasaa. Hawa hawa wameshasahau kwamba ni hoja za ufisadi za Dr Slaa dhidi ya Lowassa na genge lake ndizo zilizoipaisha CHADEMA hapa ilipo kisiasa leo.
Kinachosikitisha ni hatua waliyofikia ya kuanza kumshambulia Dr Slaa na mkewe,kwa kufikia tu huko hiyo inatosha kuhitimisha kwamba CHADEMA haiwezi kuwa shwari tena.Wasichokifahamu hawa wanaomshambulia Dr Slaa ni kwamba,CCM wakiongozwa na Nape watamtumia Dr Slaa kuisambaratisha UKAWA katika kampeni,najua CCM wanasali huko waliko CHADEMA waendelee kuvutana na Dr Slaa hadi aondoke,hilo likitokea kazi yao ya kuimaliza UKAWA itakuwa rahisi sana,watalitumia jina la Dr Slaa,wakimwelezea kama ni mwanasiasa mpinga ufisadi aliyegeukwa na viongozi wenzie wa UKAWA kwasababu ya fedha za Lowassa, na mnawajua Watanzania vizuri,hawakawii kubadilika.
Amini nawaambia,Dr Slaa kiongozi wa Upinzani aliyetukanwa na kudhihakiwa zaidi na CCM pengine kuliko mwanasiasa mwingine yeyote pale CHADEMA simply because ni tishio kwao leo hii atageuka silaha yao kuu ya kuisambaratisha UKAWA,na shujaa wao mkuu katika harakati zao za kubakia madarakani.
You anti Dr Slaa are a gift to CCM that keep coming.
 
Mleta mada watch what u say. Its better keeping quiet that showing ur ignorance.
 
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi

Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.

Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.

Laana itamtafuna huyu mzeee

watu wengine banaaa-yaan Slaa kakubua na sio wapiga hela walioamua kutusaliti Watz tuliojitoa kwa hali na mali kukijenga Chama ktk sura iliyowavutia watu wengi kuona km ndio kimbilio lkn hatimae kinatudhihirisha rangi yake halisi kuwa ni chama cha wez na mafisadi kuliko hata CCM-ktk mazingira hayo unamtaka Slaa aendelee kuwa sehem yao
 
wazee wa mafununu na kuzua kazini yangu macho ✌✊✌✌✋✌✊
✌
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom