Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,796
- 218,436
kuna watu watabisharais wa kudumu mbeya
Siyo kwa kumsifia huku jamani, hivi akikuomba naniliu humpi kweli kwa kujikomba huku
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba we ndio mleta mada na huwa unatoa kwa sugu.Kama wewe unavyotoa kwa yule basha wako.!!
Jikite kwenye madaSiyo kwa kumsifia huku jamani, hivi akikuomba naniliu humpi kweli kwa kujikomba huku
Sent using Jamii Forums mobile app
jembe!!View attachment 1436726
Wewe kijana Mungu akupe Maisha marefu mno , umeileta heshima kubwa sana Mbeya , umeiondoa kutoka kwenye utumwa wa wananchi kuabudu viongozi na sasa tunaona viongozi wakipiga magoti kuwaabudu wananchi .
Wewe ni Rais wa Mbeya , tunakuahidi lundo la kura OCTOBER ili uendelee kuwanyuka ngumi za pua wapinzani wako , uchunguzi wetu unaonyesha kwamba kila aliyejaribu kuleta pua yake kupambana na wewe amepotea jumla , wengine wamepoteza hata tule tuvyeo tudogo walitokuwa nato .
Kwa moyo mkunjufu nakutakia Maisha marefu sana , Mungu akuepushe na Corona , Amina .
Sugu moto chiniPongezi sana sugu na album takribani 9.
Heri ya kuzaliwa Mhe.
Hatari sana hilo ngoma bossSugu moto chini
MfungwaHappy birthday Jongwe
umechelewa sana kujuaMbunge aliye chaguliwa kwa kura nyingi Afrika. Hii ndio najua leo, hongera kwake