Heri ya Mwaka Mpya kwa wana UKAWA

Heri ya Mwaka Mpya kwa wana UKAWA

Hujitambui, mbaya zaidi hutambui kuwa hujitambui.
Teeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeh nyumbu kakurupuka
 
Last edited:

Attachments

  • 1451629072336.jpg
    1451629072336.jpg
    9.7 KB · Views: 18
Raha sana kuwa UKAWA na bado tutawakimbiza sana Bunge linalokuja ndo mtakuja UKAWA tuko je tumepanga lazima tutavunja baraza la mawaziri
 
Nami nawatakia makamanda wote Heri nyingi za mwaka mpya
Kwakuwa huku mtaani magamba yanaogopa hata mikutano ya shukrani kwa wapiga kura,tuandae makamanda wetu kupamabana bungeni
 
Raha sana kuwa UKAWA na bado tutawakimbiza sana Bunge linalokuja ndo mtakuja UKAWA tuko je tumepanga lazima tutavunja baraza la mawaziri
Kweli kabisa mkuu mwaka huu lazima mawaziri mizigo wapigwe chini
 
Nami nawatakia makamanda wote Heri nyingi za mwaka mpya
Kwakuwa huku mtaani magamba yanaogopa hata mikutano ya shukrani kwa wapiga kura,tuandae makamanda wetu kupamabana bungeni
Mkuu pepsin tupo wote na tulikuwa wote mwaka ulipita naomba tuendelee kuwa pamoja maana umoja ni nguvu
 
Back
Top Bottom