Heri ya Kuzaliwa Rais Ali Hassan Mwinyi 😄

Heri ya Kuzaliwa Rais Ali Hassan Mwinyi 😄

Kinyungu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
22,392
Reaction score
45,059
Wakuu leo Mei 8, ni siku aliyozaliwa Rais wa Awamu ya Pili Mh. Ali Hassan Mwinyi. Mh. Mwinyi alizaliwa Mei 8, 1925, hivyo leo ametimiza miaka 98.

Tunamtakiwa Mzee Mwinyi heri na baraka kwa siku yake ya kuzaliwa.

20230508_113328.jpg
 
Back
Top Bottom