Heri ukutane na Magufuli kuliko Majaliwa...

Heri ukutane na Magufuli kuliko Majaliwa...

state agent

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2019
Posts
1,764
Reaction score
2,515
Majaliwa kweli anatisha anaanza kukuuliza maswali kama upo interrogation room za kuhoji magaidi , swali kwa swali huku akiwa na details zako zote na bila wewe kujua .

Nimeona watendaji wakitatizika sana na wengi wamepoteza kazi ,kwa sasa ukisikia kuna ziara ya majaliwa unakesha ukisali ila ukisikia jpm tuliza roho ndio maana hata makonda aliomba ziara ya jpm na hawezi kamwe kumuomba PM atembelee dar es salaam

Omba usikutane naye
 
maja kabadilika,mwanzo alikua ajachanganya
Sahivi ni fire
 
Majaliwa anajitahidi but not yet perfect.

Mtwara aliamuru Daktari bingwa asimamishwe (na hospitali nzima ya mkoa ilikuwa na huyo surgeon mmoja tu) kwa kusikiliza tuhuma za uwongo kutoka kwa mama mkutanoni kuwa daktari alimwomba rushwa ya sh laki 1 ili mgonjwa waje afanyiwe upasuaji wakati laki 1 kilikuwa ni kiasi cha fedha alichotakiwa kulipa hospitalini na siyo kwa daktari.

Kama angekuwa makini angeweza kufahamu kuwa wagonjwa wanatakiwa kilipa nini hospitalini kwa huduma gani. Na hilo angeweza kulipata kutoka menejimenti ya hospitali.

Daktari alipoambiwa arudi kazini alikataa kutokana na kudhalilishwa na Majaliwa kwenye mkutano wa hadhara. Waliendelea na jitihada mbalimbali kumshawishi, sina uhakika kama mwishoni walifanikiwa au waliendelea kugonga mwamba.
 
Majaliwa anajitahidi but not yet perfect.

Mtwara aliamuru Daktari bingwa asimamishwe (na hospitali nzima ya mkoa ilikuwa na huyo surgeon mmoja tu) kwa kusikiliza tuhuma za uwongo kutoka kwa mama mkutanoni kuwa daktari alimwomba rushwa ya sh laki 1 ili mgonjwa waje afanyiwe upasuaji wakati laki 1 kilikuwa ni kiasi cha fedha alichotakiwa kulipa hospitalini na siyo kwa daktari.

Kama angekuwa makini angeweza kufahamu kuwa wagonjwa wanatakiwa kilipa nini hospitalini kwa huduma gani. Na hilo angeweza kulipata kutoka menejimenti ya hospitali.

Daktari alipoambiwa arudi kazini alikataa kutokana na kudhalilishwa na Majaliwa kwenye mkutano wa hadhara. Waliendelea na jitihada mbalimbali kumshawishi, sina uhakika kama mwishoni walifanikiwa au waliendelea kugonga mwamba.
Daktari alipoambiwa arudi kazini alikataa kutokana na kudhalilishwa na Majaliwa kwenye mkutano wa hadhara. Waliendelea na jitihada mbalimbali kumshawishi, sina uhakika kama mwishoni walifanikiwa au waliendelea kugonga mwamba. [emoji109][emoji123]
 
MKM na JPM wawe makini wasije wakaharibu utumishi wa umma kwa kupata maksi nzuri za kisiasa. Wakumbuke kubomoa ni rahisi kuliko kujenga. Busara na hekima zinahitajika katika uongozi.
 
Maja ni noma...kwenye vyama vya ushirika watu wamefungwa huko mpaka leo wananyea debe...bora ukutane na magu aloo
 
Nashngaa kwa sababu sionagi katika mataifa ya jirani na hata ya mbali, wanasiasa wa ngazi za juu wakiwadhalilisha watumishi wa umma. Kwanini Tanzania?
 
Majaliwa anajitahidi but not yet perfect.

Mtwara aliamuru Daktari bingwa asimamishwe (na hospitali nzima ya mkoa ilikuwa na huyo surgeon mmoja tu) kwa kusikiliza tuhuma za uwongo kutoka kwa mama mkutanoni kuwa daktari alimwomba rushwa ya sh laki 1 ili mgonjwa waje afanyiwe upasuaji wakati laki 1 kilikuwa ni kiasi cha fedha alichotakiwa kulipa hospitalini na siyo kwa daktari.

Kama angekuwa makini angeweza kufahamu kuwa wagonjwa wanatakiwa kilipa nini hospitalini kwa huduma gani. Na hilo angeweza kulipata kutoka menejimenti ya hospitali.

Daktari alipoambiwa arudi kazini alikataa kutokana na kudhalilishwa na Majaliwa kwenye mkutano wa hadhara. Waliendelea na jitihada mbalimbali kumshawishi, sina uhakika kama mwishoni walifanikiwa au waliendelea kugonga mwamba.
Naunga mkono, kwanza hiyo sio staili nzuri ya kushughulika na jambo.

Hata huyu wa singida anayeshutumiwa kujilipa stahiki zake kabla ya muda sijaona sababu ya kumzodoa hadharani! Uzuri tu ni kwamba kajieleza vizuri

PM kwa nafasi yake sio size yake kugombana na watumishi hadharani wanatuhumiwa kufuja shilling milioni moja au mbili!

Wengi utasikia "rudisha million moja yetu ulijiandikishia posho"! Hicho ndo kilichompeleka kwenye ziara?

Mimi nadhani akipewa taarifa kama hizo anatakiwa aanze na aliyempa taarifa. Kwanini wamsubiri yeye ndo wayaseme? Inamaana hamna chain of command?

Bado tuna feli kutengeneza mfumo wa kiuongozi kwa sababu ya kutaka sifa za kisiasa tu!
 
Magufuli ni mwepesi mno Kwanza ukimsifia Tu basi ushamaliza kazi hata kama umeiba mamilioni ukimwagia sifa na kujipendekeza hapo unakuwa umeruka kitanzi.
Technical questions zipo Kwa huyu jembe majaliwa huyu mtu ni hatari sana hata Mimi namkubali
 
Wakati mwingine kama alisomeshwa na kodi za wa Tanzania ni kunyang'anya cheti cha udaktari akafanye kazi anayoitaka
Majaliwa anajitahidi but not yet perfect.

Mtwara aliamuru Daktari bingwa asimamishwe (na hospitali nzima ya mkoa ilikuwa na huyo surgeon mmoja tu) kwa kusikiliza tuhuma za uwongo kutoka kwa mama mkutanoni kuwa daktari alimwomba rushwa ya sh laki 1 ili mgonjwa waje afanyiwe upasuaji wakati laki 1 kilikuwa ni kiasi cha fedha alichotakiwa kulipa hospitalini na siyo kwa daktari.

Kama angekuwa makini angeweza kufahamu kuwa wagonjwa wanatakiwa kilipa nini hospitalini kwa huduma gani. Na hilo angeweza kulipata kutoka menejimenti ya hospitali.

Daktari alipoambiwa arudi kazini alikataa kutokana na kudhalilishwa na Majaliwa kwenye mkutano wa hadhara. Waliendelea na jitihada mbalimbali kumshawishi, sina uhakika kama mwishoni walifanikiwa au waliendelea kugonga mwamba.
 
Back
Top Bottom