state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,515
Majaliwa kweli anatisha anaanza kukuuliza maswali kama upo interrogation room za kuhoji magaidi , swali kwa swali huku akiwa na details zako zote na bila wewe kujua .
Nimeona watendaji wakitatizika sana na wengi wamepoteza kazi ,kwa sasa ukisikia kuna ziara ya majaliwa unakesha ukisali ila ukisikia jpm tuliza roho ndio maana hata makonda aliomba ziara ya jpm na hawezi kamwe kumuomba PM atembelee dar es salaam
Omba usikutane naye
Nimeona watendaji wakitatizika sana na wengi wamepoteza kazi ,kwa sasa ukisikia kuna ziara ya majaliwa unakesha ukisali ila ukisikia jpm tuliza roho ndio maana hata makonda aliomba ziara ya jpm na hawezi kamwe kumuomba PM atembelee dar es salaam
Omba usikutane naye