Helps us proxy zinazopiga mzigo

Helps us proxy zinazopiga mzigo

babumufty

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2011
Posts
223
Reaction score
77
Jamani nazani mnaona title inavyosema so kama kuna m2 anazijua poa 2saidiane bc
 
Siku hizi unatakiwa uchakarike mwenyewe kaka hakuna tena mteremko!!!
Ingia google uzitafute
 
mie ninazo. na siamini kama zinablokiwa TZ. najua ni nature yake , free proxy kufa kila baada ya kipindi fulani.
same day zinapokufa india na hapa zinakufa na dunia nzima huwa hazifanyi kazi.
sasa niambieni niziweke hapa au....... bado munaamini proxy zinablokiwa??
maoni yenu ndio muhimu.......
tafadhali usini PM kuomba proxy
 
mie ninazo. na siamini kama zinablokiwa TZ. najua ni nature yake , free proxy kufa kila baada ya kipindi fulani.
same day zinapokufa india na hapa zinakufa na dunia nzima huwa hazifanyi kazi.
sasa niambieni niziweke hapa au....... bado munaamini proxy zinablokiwa??
maoni yenu ndio muhimu.......
tafadhali usini PM kuomba proxy

zitupie jf store na uzipe title unique...au tafuta uzi wa zamani kama ule wa windows 8 au ule wako wa premium...uziweke afu tu update
 
mie ninazo. na siamini kama zinablokiwa TZ. najua ni nature yake , free proxy kufa kila baada ya kipindi fulani.
same day zinapokufa india na hapa zinakufa na dunia nzima huwa hazifanyi kazi.
sasa niambieni niziweke hapa au....... bado munaamini proxy zinablokiwa??
maoni yenu ndio muhimu.......
tafadhali usini PM kuomba proxy

mie sikatai kuwa zinakufa, ila pia zinablokiwa, mara kibao proxy zimeblockiwa na naletewa ujumbe kuhusu iyo proxy blocked na either isp au website utakuwa unaitumia
 
mie sikatai kuwa zinakufa, ila pia zinablokiwa, mara kibao proxy zimeblockiwa na naletewa ujumbe kuhusu iyo proxy blocked na either isp au website utakuwa unaitumia

unashauri je hapo mkuu sasa
 
mie ninazo. na siamini kama zinablokiwa TZ. najua ni nature yake , free proxy kufa kila baada ya kipindi fulani.
same day zinapokufa india na hapa zinakufa na dunia nzima huwa hazifanyi kazi.
sasa niambieni niziweke hapa au....... bado munaamini proxy zinablokiwa??
maoni yenu ndio muhimu.......
tafadhali usini PM kuomba proxy

mkuu maoni tushakupa tunakusikilizia
 
kumbe bro ulisha zipata proxy zenye resume capabability... najua nawe uliangaika sana na uliweka nyuzi hapa japo HATUKU KUITA spy lkn leo nashangaa Maneno unayotoa

dah cwez kukuita wewe spy bwna mkubwa.
 
Back
Top Bottom