Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
Wakuu, poleni kwa majukumu ya ujenzi wa taifa. Na waliopo safarini loliondo poleni sana. Naomba mnisaidie ili niwe napata email notification kwenye cm yangu NOKIA E61i. Nimejaribu setting zimenishinda. Kuna mambo ya incoming na outgoing mails, pop3, ima4 n.k. Mwenye ufahamu anisaidie ili niwe nasoma emails kwa wakati mara tu zinapoingia.