Epicauta elbovitata
Senior Member
- Mar 19, 2012
- 143
- 19
Za asubuh wakubwa..nina modem ya sasatel ya huawei mobile broadband na nilikua naomba kuna way ya kuiunlock itumie lain nyingine naomba mnisaidie..help will be very much appreciated
Aahaa..iv inaweza ikacost shiling ngap?Sasatel, ttcl na zantel wanatumia tekinolojia moja ambapo unaweza wapelekea wakakufanyia utaalamu ila mtaani ni ngumu.
Zantel haipatikani sehemu sehemu mkuu!! bora amtafute wa kumsukumizia hiyo modem then anunue inayochakachuka mkuuKama kuna sehemu ya kuwekea line nenDa pale zantel wakuuzie CDMA line....bei nadhani ni tsh 10,000/=
ila kuhusu kutumia tigo,voda au airtel hilo sahau mkuu
Za asubuh wakubwa..nina modem ya sasatel ya huawei mobile broadband na nilikua naomba kuna way ya kuiunlock itumie lain nyingine naomba mnisaidie..help will be very much appreciated