chief-mkwawa hata browser yake now hairespond au ndo mpaka nikaiflash...????
baada ya kufanya hard reset ita respond vp??? au itawaka kawaida???
Hey wadau msaada!
Nili update software ya Nokia x2-02 to v 11.62 then baada ya hapo nikipigiwa simu inakuja namba hata kama namba nimesha save mpaka uanze na 255 what to do.?
Ka haujafanya hy hard reset! Jaribu na hii, badili majina ka umesave kwenye middle name kwenda kwenye first name, au ka simu yako ina option ya kusoma first name na middle name weka option hy.