Heloo

The River

Senior Member
Dec 27, 2015
127
83
mimi ni mwanachama mpya nawasalimu wote,ila bado sijaelewa vizur kuhusu jamii forum so yeyote anaejisikia kunipa darasa namkaribisha sana.
 
jinsia yako tafadhali, ili tujue tunaanzia wapi kukupa darasa aisee
 
Kuwa huru kuandika hisia mawazo yako hata kama ya kiwa vipi cha msingi fata kanuni ambazo ziameainishwa hapa sio shule upewe soma kila mtu humu ndani heshima yake hutokana na hoja zake usikurupuke kuchangia kitu jipime mwenyewe huku sio kama kule facebook karibu tujenge hoja kama una material share nasi humu kuna kila kitu kwa kweli search utapata karibu sana jf ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom