MasterMind
Senior Member
- Aug 26, 2010
- 102
- 0
Hey Pals,
hope mko salama,
glad to join you in JF.....
hope mko salama,
glad to join you in JF.....
NGOJA mie niwe mkweli tu mwaya, siku hizi nimekuwa mwoga kweli , naogopa sana wageni!..hii tabia imenijia ghafla kuanzia mwezi huu wa 8, maana nimepata wageni wengi hadi kweli, na wengine wamekuja kuniharibia KAYA yangu!
Lakini MasterMind nadhani we ni mgeni mzuri!...Karibu mwaya!
Jiskie nyumbani!
:welcome:
Usiogope hamna watu hatari kama unavyofikiria, hapa amani tu kwa sababu kuna sheria zinazotuongoza!Nashukuru kaka....
ila umeniogopesha kidogo! ilaelekea kuna watu hatari sana humu....?