P peangomuo New Member Sep 13, 2013 1 0 Oct 27, 2013 #1 Habarini humu.. Nani anafahamu jinsi ya ku unlock smartphone inayotumia line moja esp. hizi Huawei
Mwl.RCT JF-Expert Member Jul 23, 2013 13,592 18,639 Oct 27, 2013 #2 peangomuo said: Habarini humu.. Nani anafahamu jinsi ya ku unlock smartphone inayotumia line moja esp. hizi Huawei Click to expand... Kuna njia zaidi ya moja kuweza ku_unlock smartphone inayotumia laini moja Njia ambayo ni salama na inapendekezwa kutumika ni ku_unlock hiyo simu kwa kutumia unlock Code /NCK codes zitokanazo na IMEI number ya simu husika. Kwa maelezo zaidi pitia huu uzi upo hapa hapa JF Code: https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/515251-huduma-unlocking-phone-by-imei-number.html Karibu
peangomuo said: Habarini humu.. Nani anafahamu jinsi ya ku unlock smartphone inayotumia line moja esp. hizi Huawei Click to expand... Kuna njia zaidi ya moja kuweza ku_unlock smartphone inayotumia laini moja Njia ambayo ni salama na inapendekezwa kutumika ni ku_unlock hiyo simu kwa kutumia unlock Code /NCK codes zitokanazo na IMEI number ya simu husika. Kwa maelezo zaidi pitia huu uzi upo hapa hapa JF Code: https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/515251-huduma-unlocking-phone-by-imei-number.html Karibu