Ibney JF-Expert Member Joined Feb 26, 2017 Posts 336 Reaction score 277 Feb 26, 2017 #1 Habari zenu wana jf? Nimependa kujiunga na mtandao huu ambao nimeujua kitambo kidogo. Pa1 sana
knysna JF-Expert Member Joined Nov 30, 2016 Posts 354 Reaction score 112 Feb 26, 2017 #2 Karibu sana Mrs Ibney
Ibney JF-Expert Member Joined Feb 26, 2017 Posts 336 Reaction score 277 Feb 26, 2017 Thread starter #3 Umekosea, lau ungeuliza!
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,894 Reaction score 1,251,901 Feb 26, 2017 #4 Karibu sana mgeni. Dharau za baadhi ya watu zichukulie poa utazoea tu
Ibney JF-Expert Member Joined Feb 26, 2017 Posts 336 Reaction score 277 Feb 26, 2017 Thread starter #5 Ahsante sana. Ndo hvyo aisee penye wengi kuna mengi. Subira muhimu kwasababu maneno hayatoboi...
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,894 Reaction score 1,251,901 Feb 26, 2017 #6 Poa,ukitaka mjibu mtu yoyote bonyeza neno reply kisha mjibu ili apate notification ajue kuna sehemu anahitajika. Ibney said: Ahsante sana. Ndo hvyo aisee penye wengi kuna mengi. Subira muhimu kwasababu maneno hayatoboi... Click to expand...
Poa,ukitaka mjibu mtu yoyote bonyeza neno reply kisha mjibu ili apate notification ajue kuna sehemu anahitajika. Ibney said: Ahsante sana. Ndo hvyo aisee penye wengi kuna mengi. Subira muhimu kwasababu maneno hayatoboi... Click to expand...
Ibney JF-Expert Member Joined Feb 26, 2017 Posts 336 Reaction score 277 Feb 27, 2017 Thread starter #7 Nimejaribu lakin haifanyi kaz, huenda kwa sababu natumia sim ndogo. Ahsante Numbisa
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,832 Reaction score 13,798 Mar 7, 2017 #8 Krb sana JF...........