Hello Dodoma

Hello Dodoma

Barikiwa kaka ni sehem gan tulivu ya kutembelea yaan sehem hakuna kelele na kuna mazingira ya asiri
kwa dodoma sehemu inayovutia kwa mazingira ya asili nitakudanganya labda milimani maana si unajua huku kukame,

ila labda Bihawana kwenye mashamba ya zabibu kule ndo at least kunavutia na unaweza hata ukanunua Wine kwa bei nafuu sana kama unapendelea hivyo vitu.
 
WEwe ni Ke au Me,

Fikia Best Western kati kati ya mji. Au kama unapenda alone life nenda aparment zipo area D. Kama una hela wastani fikia area A ina lodge mpya na karibu na mjini.

Tour guide unataka?
Bei zikoje?
 
kwa dodoma sehemu inayovutia kwa mazingira ya asili nitakudanganya labda milimani maana si unajua huku kukame,

ila labda Bihawana kwenye mashamba ya zabibu kule ndo at least kunavutia na unaweza hata ukanunua Wine kwa bei nafuu sana kama unapendelea hivyo vitu.
Hivi dodoma kuna mito kweli? Nimeishi zaidi ya miaka 7 sijawai ona mto.
 
Fikia hotel inaitwa Welcome Lodge ipo mitaa ya Uhindini bei ni rafiki sana! Vyumba vinaanzia 40k na kuendelea! Uzuri ukifikia hapo unakuwa upo karibu na sehemu zote nzuri maana ni katikati ya mji! Ila book mapema maana panajaaga! Ukitaka kula kitimoto nenda pale PorkJoint wana kitimoto safi, Chakula kula Mwambao Restaurant na kama ni mtu wa kutoka usiku nenda Rainbow Pub pana vibe sana🔥
 
Barikiwa kaka ni sehem gan tulivu ya kutembelea yaan sehem hakuna kelele na kuna mazingira ya asiri
Karibu nikupokee mimi basi. Nipo Hombolo huku nalima zabibu. Kumetulia balaa.
NB:- mimi ni mwanaume Shababi.
 
Fikia hotel inaitwa Welcome Lodge ipo mitaa ya Uhindini bei ni rafiki sana! Vyumba vinaanzia 40k na kuendelea! Uzuri ukifikia hapo unakuwa upo karibu na sehemu zote nzuri maana ni katikati ya mji! Ila book mapema maana panajaaga! Ukitaka kula kitimoto nenda pale PorkJoint wana kitimoto safi, Chakula kula Mwambao Restaurant na kama ni mtu wa kutoka usiku nenda Rainbow Pub pana vibe sana🔥
Asantee
 
Back
Top Bottom