Hata najua basi
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 1,717
- 3,395
Hello wana October natarajia kusafiri kuja dodoma ni sehem gan nzuri ya kufikia kwa mtu asie na mwenyeji 🙏
Upo dodoma na ni ipi unahisi ni boraLodge au Airbnb?
Kutembea tuKwa mishe gani au jambo gani?
WEwe ni Ke au Me,Kutembea tu
Kama ni hivyo nakushauri ufikie maeneo ya chako ni chako hapo wanauza tiketi za kwenda mbinguni kwa bei nafuu sana, na magonjwa mengine kama gono n.k wanasambaza kwa bei chee kabisa, kama ww ni mtakatifu na si mtakabifu nakushauri ukifika upitilize vijijini huko kunautulivu wa kutosha, sanasana utasumbuliwa na makelele ya walevi tu pekee wanaokunywa ubabu au nkangalaa, sikadi, choya, pilimisi pamoja na lanjani, hakuna matatizo mengine huko.Kutembea tu
Asante Mjusi lakin sio lengo hilo🙏Kama ni hivyo nakushauri ufikie maeneo ya chako ni chako hapo wanauza tiketi za kwenda mbinguni kwa bei nafuu sana, na magonjwa mengine kama gono n.k wanasambaza kwa bei chee kabisa, kama ww ni mtakatifu na si mtakabifu nakushauri ukifika upitilize vijijini huko kunautulivu wa kutosha, sanasana utasumbuliwa na makelele ya walevi tu pekee wanaokunywa ubabu au nkangalaa, sikadi, choya, pilimisi pamoja na lanjani, hakuna matatizo mengine huko.
😂😂
Ni ke nina hela ya wastani asante Mkuu🙏WEwe ni Ke au Me,
Fikia Best Western kati kati ya mji. Au kama unapenda alone life nenda aparment zipo area D. Kama una hela wastani fikia area A ina lodge mpya na karibu na mjini.
Tour guide unataka?
KawaidaUna balance ya kutosha mkuu..
AsanteeKama balance inaruhusu ....lala pale midland hotel... ipo ilazo karibu na hotel ya st Gasper, hii barabara kuu kutokea nane nane kama unakuja mjini .....
Niliwahi lala pale mwaka jana.... ! Huduma nzuri mujarab
Mimi mwanamke 😂uwe makin na madem wa huko.... cheap yutiai nje nje .... wengi wanajichubua... kama walau una connection ama mwenyeji ukavizie vitoto vya chuo, vipo ambavyo km zinasoma chache.....
Mi nipo Dodoma na ndo naishi huku ukija nambie nikutembeze utakapoMimi mwanamke 😂
Jinsia yako?Mi nipo Dodoma na ndo naishi huku ukija nambie nikutembeze utakapo
Mi mwanaumeJinsia yako?
Kuna shida gan kwa hayo maeneo ya maili mbili nk..Kwa kufikia fikia Lodge za mitaa ya Utulivu vijana wa mjini wanaita Ushuani, hapo kuna Lodge za Kisasa, Image, Nkuhungu au Area D, kwa mimi napendekeza ufikie Lodge za Kisasa au Area D.
Mitaa ambayo hupaswi kabisa kufikia ni Maili mbili, chang'ombe na kikuyu... usiseme sikukwambia.