Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,376
Huyu ni Head of Legal Services wa Stanbic Bank na ndiye aliesain Statement of account ya PAP
Anawajua beneficiaries woooote wa akaunti hiyo
Hivi hawa Stanbic sakata la Mikopo kwa wafanyabiashara wa Kariakoo na staff wao liimeishia wapi?
Sakata la Bashir Awale na mkopo wa mamilioni y dola anbayo BOT hawakujua kimeishia wapi?
Anawajua beneficiaries woooote wa akaunti hiyo
Hivi hawa Stanbic sakata la Mikopo kwa wafanyabiashara wa Kariakoo na staff wao liimeishia wapi?
Sakata la Bashir Awale na mkopo wa mamilioni y dola anbayo BOT hawakujua kimeishia wapi?