habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
We nae?Watu wanakatwa mapanga hatoi tamko ila wabunge wakitolewa anatoa tamko.
We nae?Watu wanakatwa mapanga hatoi tamko ila wabunge wakitolewa anatoa tamko.
Urais ni mamlaka kubwa, iko juu ya mamlaka zote nchi, huwezi kusema UNAITAKA, unaweza kutunzwa au kufichwaWewe unataka atumie lugha ya ku please please wakati hali ni tete??????????????
Amri@ Thatha, kwani neno "namtaka" lina kasoro gani?!