Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Pamoja na kujua kuwa HELLEN KIJO BISIMBA ni Mkurugenzi wa Kituo cha haki za binadamu , Kauli zake za hivi karibuni kuhusiana na mgomo wa Madaktari zimenifanya nisiishie kumjua kwa wadhifa huo . Nanukuu kauli zake "NAMTAKA RAIS KIKWETE AWAFUKUZE KAZI WAZIRI WA AFYA NA NAIBU WAZIRI WAKE LUCY NKYA" aidha NAWATAKA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA WATNZANIA ANNE MAKINDA NA NAIBU WAKE JOB NDUGHAI WAWAOMBE MSAMAHA WATANZANIA "
Je Nguvu ya Mama huyu inatokana na moja kati ya haya yafuatayo?
Mimi naamini kwa Msomi na hasa Mwanasheria kama BISIMBA ambaye siyo mwanasiasa manake mwanasiasa siyo lazima awe amekwenda shule asingeweza kutumia neno "NAMTAKA" kwa viongozi wa ngazi ya juu kama Rais au SPIKA.
Nawasilisha.
Je Nguvu ya Mama huyu inatokana na moja kati ya haya yafuatayo?
- Ni Mkurugengi wa haki za binadamu nchini?
- Ni kwa sababu anataka kuonesha wahisani kuwa pesa wanazowapa hazipotei?
- Au Mama ana mambo binafsi nje ya kazi dhidi ya Waziri wa afya na naibu wake maana naye ni binadamu na ni mwanamke na inawekana kabisa kuna wataki amEikosa haki yake ya msingi kama binadamu na labda mmoja kati ya viongozi hawa wawili ndiye chanzo na akaamua kutumia nafasi hiyo kuutuliza moyo wake?
Mimi naamini kwa Msomi na hasa Mwanasheria kama BISIMBA ambaye siyo mwanasiasa manake mwanasiasa siyo lazima awe amekwenda shule asingeweza kutumia neno "NAMTAKA" kwa viongozi wa ngazi ya juu kama Rais au SPIKA.
Nawasilisha.