Hellen Kijo Bisimba ni nani?

Hellen Kijo Bisimba ni nani?

Asinge tumia neno "namtaka" ulitaka aombe nini hao uliowataja siwaliomba kulitumikia taifa kwa nyadhifa zao leo unataka waombwe nn kufanya kazi yao? Mnakazi kweli kuliosha hilo tope mlilonalo kazi kwelikweli!
Tumewazoea ninyi kila atakaye fanya kitu kisiwapendeze mnasema siyo RAIA, BASHE, SIYOI SUMARI, ULIMWENGU NK Unadhani leo tutashangaa mkisema HELLENI siyo raia ? nadhani hata yeye hana mda wa kujadili hili.
 
HELLEN KIJO BISIMBA NI................. Mama wa kitanzania anayekusaidia wewe uliyeandika Utumbo katika safu hii ukihoji Hellen Bisimba ni nani ????? kufahamu yale yote yanayofanyika katika nchi hii hasa kwa watu wa aina yako ambao hawajui kinachoendelea katika chi yao viongozi wanapo shindwa kutimiza majukumu yao kwa wananchi waliowaweka madarakani mfano kiongozi wa nchi J.Kikwete anaposhindwa kuona matatizo yanayowakabili watu wake hata kama yapo nje ya uwezo wa serikali yake kinachotakiwa sio vitisho kwa wananchi bali ni kukaa nao ili kupata ufumbuzi wake kwa njia ya mazungumzo.
Sasa tangu mgomo wa madaktari wetu mwezi uliopita Kiongozi wa nchi yetu hajapata kuzungumzia lolote linalohusiana na mgomo wa madaktari yeye ameamua kukaa kimya kana kwamba hakuna tatizo lolote katika nchi yake ndipo akijitokeza mama Hellen Kijo Bisimba na wenzake ambao baada ya maisha ya Wtz yamepotea au yatapotea ameamua kukusaidia wewe ambaye unaonekana unafikiri kwa kutumia makalioooo.........ili uweze kutambua tuko wapi katika dunia ya leo au ndugu yetu wewe mpaka Uumwe ndipo ujue umuhimu wa madaktari wako na kile wanachopaswa kupata, Kama hawana umuhimu basi mbona wenzetu wakiumwa haoo wanaruka nje ya nchi kwa matibabu zaidiiiiiiiiii leo tunapozungumzia hoja ya waganga wetu mmoja wa viongozi wabovu wanaosababisha hali hii ngumu kwetu sisi na wataalamu wetu wanaoangalia Afya zetu yupo Ujerumani kwa matibabu je unalijua hilo?? hiyo fedha ya kwenda huko kaipata wapi kama sio kodi yetu?????????? je unalijua hilo ?? ni lipi kosa kukaa kimya bila kutatua tatizo lililopo mbele yetu au kukosoa neno alilolitamka mama Bisimba kwa kumwambia kiongozi wake wa nchi au na wewe ni miongoni mwa wale washauri wabovu wa rais wa Tanzania????????? hata kama pengine hufiki pale Ikulu unaungana na uozo ulio mbele yako kama huna la kuandika ni vyema ukakaa kimya hakuna atakaye kulaumu. Mama Bisimba Aluta Continua...........endelea uwaamshe wtz ambao bado wanaona wako usingizini hakuna kosa ni wepesi kukosoa kwenye ukurasa kama huu lakini usiwaambie twende kuuliza kulikoni watakuacha pale Jangwani hawavuki hata daraja mfano ndogo unauona hata kinachogusa mwili wake bado mtu anatetea makosa. mujwahuzia
well said
 
Pamoja na kujua kuwa HELLEN KIJO BISIMBA ni Mkurugenzi wa Kituo cha haki za binadamu , Kauli zake za hivi karibuni kuhusiana na mgomo wa Madaktari zimenifanya nisiishie kumjua kwa wadhifa huo . Nanukuu kauli zake "NAMTAKA RAIS KIKWETE AWAFUKUZE KAZI WAZIRI WA AFYA NA NAIBU WAZIRI WAKE LUCY NKYA" aidha NAWATAKA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA WATNZANIA ANNE MAKINDA NA NAIBU WAKE JOB NDUGHAI WAWAOMBE MSAMAHA WATANZANIA "
Je Nguvu ya Mama huyu inatokana na moja kati ya haya yafuatayo?

  • Ni Mkurugengi wa haki za binadamu nchini?
  • Ni kwa sababu anataka kuonesha wahisani kuwa pesa wanazowapa hazipotei?
  • Au Mama ana mambo binafsi nje ya kazi dhidi ya Waziri wa afya na naibu wake maana naye ni binadamu na ni mwanamke na inawekana kabisa kuna wataki amEikosa haki yake ya msingi kama binadamu na labda mmoja kati ya viongozi hawa wawili ndiye chanzo na akaamua kutumia nafasi hiyo kuutuliza moyo wake?

Mimi naamini kwa Msomi na hasa Mwanasheria kama BISIMBA ambaye siyo mwanasiasa manake mwanasiasa siyo lazima awe amekwenda shule asingeweza kutumia neno "NAMTAKA" kwa viongozi wa ngazi ya juu kama Rais au SPIKA.
Nawasilisha.
Masaburi yanakuwasha wewe, manina sana
 
Lakini baada ya kuongoza wanaharakati kufunga barabara, mambo yalianza kutatuliwa, kwa hiyo kauli yake kama ilisaidia kwa kiasi fulani.
 
Sioni shida ya hili neno nawataka...ni kama kuwaimiza na kuwaonyesha kuwa tumekerwa.
 
Pamoja na kujua kuwa HELLEN KIJO BISIMBA ni Mkurugenzi wa Kituo cha haki za binadamu , Kauli zake za hivi karibuni kuhusiana na mgomo wa Madaktari zimenifanya nisiishie kumjua kwa wadhifa huo . Nanukuu kauli zake “NAMTAKA RAIS KIKWETE AWAFUKUZE KAZI WAZIRI WA AFYA NA NAIBU WAZIRI WAKE LUCY NKYA” aidha NAWATAKA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA WATNZANIA ANNE MAKINDA NA NAIBU WAKE JOB NDUGHAI WAWAOMBE MSAMAHA WATANZANIA “
Je Nguvu ya Mama huyu inatokana na moja kati ya haya yafuatayo?

  • Ni Mkurugengi wa haki za binadamu nchini?
  • Ni kwa sababu anataka kuonesha wahisani kuwa pesa wanazowapa hazipotei?
  • Au Mama ana mambo binafsi nje ya kazi dhidi ya Waziri wa afya na naibu wake maana naye ni binadamu na ni mwanamke na inawekana kabisa kuna wataki amEikosa haki yake ya msingi kama binadamu na labda mmoja kati ya viongozi hawa wawili ndiye chanzo na akaamua kutumia nafasi hiyo kuutuliza moyo wake?

Mimi naamini kwa Msomi na hasa Mwanasheria kama BISIMBA ambaye siyo mwanasiasa manake mwanasiasa siyo lazima awe amekwenda shule asingeweza kutumia neno “NAMTAKA” kwa viongozi wa ngazi ya juu kama Rais au SPIKA.
Nawasilisha.
Kwa kweli ndo mana nchi inanuka umaskini kwa kuwa imejaza watu wanaopenda kunyenyekea hata kwa kudai haki zao.Sijui kilichokufanya ushangae hilo neno zaidi hata ya wanaosemwa.
 
Hivi mwajiri akihitaji jambo lifanywe na mwajiriwa ANAMWOMBA au ANAMTAKA atekeleze jambo hilo? Rais, Spika, PM au yeyote katika utumishi wa Umma ni mwajiriwa wa nafasi hiyo na Waajiri wao ni wananchi. Hivyo sioni kama kuna kosa kwa mwajiri wao KUWATAKA watekeleze majukumu yao mara mmoja kwa kazi ambayo wao wenyewe waliomba kupewa ili waifanye.
Bisimba au yeyote kati yetu anao uhalali wa kuwataka watimize majukumu waliyoapa kuyafanya.
Hata mie namtaka mara moja aache safari zisizo na tija na akae nyumbani kushughulikia mambo ya msingi
 
....ameamua ku-take advantage ya mgomo wa madaktari nayeye apate kusikika.....mbona muda mrefu sijaisikia hii asasi ikikemea lolote japo matukio chungu tele ya uvunjaji wa haki za binaadam yanatokea kila kukicha...:juggle:

KUSIKIKA AMESHASIKIKA SANA. YEYE HAPA ANAFANYA KAZI YAKE KUTETEA HAKI ZA BINADAMU. UNAWEZA KUPITIA HAPA KWA TAARIFA NDOGO TU U.S. Ambassador presents Certificate to Tanzania?s nominee for International Women of Courage (November 7, 2007) | Embassy of the United States Dar Es Salaam, Tanzania

na ana nyingine nyingi tu kwa kazi yake nzuri.....
 
Atakuwa ni swahiba wake na Ananilea Nkya, maana mama Nkya ni Chadema kasoro magwanda!

Mimi nashangaa hawa wanaojiita asasi za kiraia halafu wanaunga mkono mgomo ambao wanajua wananchi watakufa.
 
ni mtu gani anayepaswa kutumia neno NAMTAKA? ukijibu ntaendelea ..........
Kila mtanzania anaweza kuitaka serikali iwafanyie wananchi wake haki zao. Au hujui kuwa maboss wa JK ni WANANCHI?
Enzi za heshima za kinafiki zishapita!
 
yule mama ni msomi na mwanaharakati anayejua nini anakifanya.hata Lema mb wa Arusha naikumbuka kauli yake wakati wa kudai kaiba mpya,baada ya kuomba ikashindikana alisema sasa siyo kwamba tunaomba bali tunataka katiba mpya.siyo kila kitu naomba naomba umekuwa omba omba katika hakizako za msingi?
 
Wewe Thatha mleta thread hii bado unaishi na kufikiri kama mtu wa enzi za TANU. leo hii watu wanajua haki zao.Leo hii watu wana haki ya kusema ukweli dhidi ya serikali yao.

My take: Kasome sheria
 
Moja ya wanaharakati-wazalendo wachache waliobaki wenye uchungu na nchi yao.
 
Simple. Mama Helen Kijo Bisimba yuko sahihi kutoa matamko yake. Hauwezi kutoa tamko kwa kesi ya kipepelezi inayohusisha polisi na Mahakama, hapo utakuwa unaingilia na kuharibu upelelezi na ushahidi.
 
Back
Top Bottom