tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,143
mama Kijo ni mtusi tusidanganyane hapa aliolewa na mtanzania kuna habari kuwa ama ana uraia wa nchi mbili au hajaukana uraia wake wa Lwanda.
Lwanda ndiyo wapi?
mama Kijo ni mtusi tusidanganyane hapa aliolewa na mtanzania kuna habari kuwa ama ana uraia wa nchi mbili au hajaukana uraia wake wa Lwanda.
You are truly INSANE!!alaaa kumbe wa kule kule na wa chama kile kile,ndio maana kashubalia.pumbaf....
kwani anatetea wanyarwanda.?mama Kijo ni mtusi tusidanganyane hapa aliolewa na mtanzania kuna
habari kuwa ama ana uraia wa nchi mbili au hajaukana uraia wake wa Lwanda.
well saidHELLEN KIJO BISIMBA NI................. Mama wa kitanzania anayekusaidia wewe uliyeandika Utumbo katika safu hii ukihoji Hellen Bisimba ni nani ????? kufahamu yale yote yanayofanyika katika nchi hii hasa kwa watu wa aina yako ambao hawajui kinachoendelea katika chi yao viongozi wanapo shindwa kutimiza majukumu yao kwa wananchi waliowaweka madarakani mfano kiongozi wa nchi J.Kikwete anaposhindwa kuona matatizo yanayowakabili watu wake hata kama yapo nje ya uwezo wa serikali yake kinachotakiwa sio vitisho kwa wananchi bali ni kukaa nao ili kupata ufumbuzi wake kwa njia ya mazungumzo.
Sasa tangu mgomo wa madaktari wetu mwezi uliopita Kiongozi wa nchi yetu hajapata kuzungumzia lolote linalohusiana na mgomo wa madaktari yeye ameamua kukaa kimya kana kwamba hakuna tatizo lolote katika nchi yake ndipo akijitokeza mama Hellen Kijo Bisimba na wenzake ambao baada ya maisha ya Wtz yamepotea au yatapotea ameamua kukusaidia wewe ambaye unaonekana unafikiri kwa kutumia makalioooo.........ili uweze kutambua tuko wapi katika dunia ya leo au ndugu yetu wewe mpaka Uumwe ndipo ujue umuhimu wa madaktari wako na kile wanachopaswa kupata, Kama hawana umuhimu basi mbona wenzetu wakiumwa haoo wanaruka nje ya nchi kwa matibabu zaidiiiiiiiiii leo tunapozungumzia hoja ya waganga wetu mmoja wa viongozi wabovu wanaosababisha hali hii ngumu kwetu sisi na wataalamu wetu wanaoangalia Afya zetu yupo Ujerumani kwa matibabu je unalijua hilo?? hiyo fedha ya kwenda huko kaipata wapi kama sio kodi yetu?????????? je unalijua hilo ?? ni lipi kosa kukaa kimya bila kutatua tatizo lililopo mbele yetu au kukosoa neno alilolitamka mama Bisimba kwa kumwambia kiongozi wake wa nchi au na wewe ni miongoni mwa wale washauri wabovu wa rais wa Tanzania????????? hata kama pengine hufiki pale Ikulu unaungana na uozo ulio mbele yako kama huna la kuandika ni vyema ukakaa kimya hakuna atakaye kulaumu. Mama Bisimba Aluta Continua...........endelea uwaamshe wtz ambao bado wanaona wako usingizini hakuna kosa ni wepesi kukosoa kwenye ukurasa kama huu lakini usiwaambie twende kuuliza kulikoni watakuacha pale Jangwani hawavuki hata daraja mfano ndogo unauona hata kinachogusa mwili wake bado mtu anatetea makosa. mujwahuzia
Masaburi yanakuwasha wewe, manina sanaPamoja na kujua kuwa HELLEN KIJO BISIMBA ni Mkurugenzi wa Kituo cha haki za binadamu , Kauli zake za hivi karibuni kuhusiana na mgomo wa Madaktari zimenifanya nisiishie kumjua kwa wadhifa huo . Nanukuu kauli zake "NAMTAKA RAIS KIKWETE AWAFUKUZE KAZI WAZIRI WA AFYA NA NAIBU WAZIRI WAKE LUCY NKYA" aidha NAWATAKA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA WATNZANIA ANNE MAKINDA NA NAIBU WAKE JOB NDUGHAI WAWAOMBE MSAMAHA WATANZANIA "
Je Nguvu ya Mama huyu inatokana na moja kati ya haya yafuatayo?
- Ni Mkurugengi wa haki za binadamu nchini?
- Ni kwa sababu anataka kuonesha wahisani kuwa pesa wanazowapa hazipotei?
- Au Mama ana mambo binafsi nje ya kazi dhidi ya Waziri wa afya na naibu wake maana naye ni binadamu na ni mwanamke na inawekana kabisa kuna wataki amEikosa haki yake ya msingi kama binadamu na labda mmoja kati ya viongozi hawa wawili ndiye chanzo na akaamua kutumia nafasi hiyo kuutuliza moyo wake?
Mimi naamini kwa Msomi na hasa Mwanasheria kama BISIMBA ambaye siyo mwanasiasa manake mwanasiasa siyo lazima awe amekwenda shule asingeweza kutumia neno "NAMTAKA" kwa viongozi wa ngazi ya juu kama Rais au SPIKA.
Nawasilisha.
Kwa kweli ndo mana nchi inanuka umaskini kwa kuwa imejaza watu wanaopenda kunyenyekea hata kwa kudai haki zao.Sijui kilichokufanya ushangae hilo neno zaidi hata ya wanaosemwa.Pamoja na kujua kuwa HELLEN KIJO BISIMBA ni Mkurugenzi wa Kituo cha haki za binadamu , Kauli zake za hivi karibuni kuhusiana na mgomo wa Madaktari zimenifanya nisiishie kumjua kwa wadhifa huo . Nanukuu kauli zake NAMTAKA RAIS KIKWETE AWAFUKUZE KAZI WAZIRI WA AFYA NA NAIBU WAZIRI WAKE LUCY NKYA aidha NAWATAKA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA WATNZANIA ANNE MAKINDA NA NAIBU WAKE JOB NDUGHAI WAWAOMBE MSAMAHA WATANZANIA
Je Nguvu ya Mama huyu inatokana na moja kati ya haya yafuatayo?
- Ni Mkurugengi wa haki za binadamu nchini?
- Ni kwa sababu anataka kuonesha wahisani kuwa pesa wanazowapa hazipotei?
- Au Mama ana mambo binafsi nje ya kazi dhidi ya Waziri wa afya na naibu wake maana naye ni binadamu na ni mwanamke na inawekana kabisa kuna wataki amEikosa haki yake ya msingi kama binadamu na labda mmoja kati ya viongozi hawa wawili ndiye chanzo na akaamua kutumia nafasi hiyo kuutuliza moyo wake?
Mimi naamini kwa Msomi na hasa Mwanasheria kama BISIMBA ambaye siyo mwanasiasa manake mwanasiasa siyo lazima awe amekwenda shule asingeweza kutumia neno NAMTAKA kwa viongozi wa ngazi ya juu kama Rais au SPIKA.
Nawasilisha.
....ameamua ku-take advantage ya mgomo wa madaktari nayeye apate kusikika.....mbona muda mrefu sijaisikia hii asasi ikikemea lolote japo matukio chungu tele ya uvunjaji wa haki za binaadam yanatokea kila kukicha...:juggle:
alaaa kumbe wa kule kule na wa chama kile kile,ndio maana kashubalia.pumbaf....
Kila mtanzania anaweza kuitaka serikali iwafanyie wananchi wake haki zao. Au hujui kuwa maboss wa JK ni WANANCHI?ni mtu gani anayepaswa kutumia neno NAMTAKA? ukijibu ntaendelea ..........
Mama Hellen Kijo Bisimba ni mtanzania mzalendo asiye na unafiki full stop.