Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,335
- 17,852
Unaloongea ni kweli.... Lakini kumbuka demand si lazima kudai kwa ubabe.... Waweza dai bila kutumia huo Ubabe. Maybe sababu J.K ana madhaifu kibao na wananchi hawamtaki wanaona sawa tu! But at the end of the day kauli ya "NAMTAKA" moja kwa moja is not respectful.... Ni sawa na wewe uko kwako anakuja mwanao kazini mbele ya wafanyakazi wenzio na kukudemand "Baba nakutaka uende sasa hivi nyumbani ukashughulikie swala la Umeme".....
You are quite correct AshaDii, Hellen Kijo Bisimba amevuka mipaka ya uhuru kwa kujieleza kwa kumtamkia Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Tanzania kusema NAMTAKA! Hicho kivuli cha NGO anachokitumia akumbuke amepewa kwa niaba ya huyohuyo anayemshurutisha.