Helikopta anayoitumia EL

Helikopta anayoitumia EL

evonik

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
3,996
Reaction score
5,180
Je ni kweli wakuu helikopta anayoitumia EL sio ya Tanzania kutokamna na namba za helikopta hiyo ambayo ni 5Y-SGM
 

Attachments

  • 1443851304737.jpg
    1443851304737.jpg
    54.6 KB · Views: 1,852
Chopa anayotumia EL
 

Attachments

  • 1443851584665.jpg
    1443851584665.jpg
    69 KB · Views: 1,490
  • 1443851609274.jpg
    1443851609274.jpg
    58.6 KB · Views: 1,392
helcopter hailingani na hadhi ya pesa zake,angechukua chinook,ambayo inabeba hatya watu 15
 
Je ni kweli wakuu helikopta anayoitumia EL sio ya Tanzania kutokamna na namba za helikopta hiyo ambayo ni 5Y-SGM
Kwani kuna zuio la kukodi Ndege toka nje ya nchi? Muhimu ni kuomba kibali TCAA ili iruke katika anga la Tanzania
 
Tatizo sio kukodi chopa nje ya nchi au kupata kibali?Bali ni chopa yenyeww kuwa na uwezo MDOGO wa kubeba watu weng
 
Je ni kweli wakuu helikopta anayoitumia EL sio ya Tanzania kutokamna na namba za helikopta hiyo ambayo ni 5Y-SGM

Tatizo sio kukodi chopa nje ya nchi au kupata kibali?Bali ni chopa yenyeww kuwa na uwezo MDOGO wa kubeba watu weng

Lakini kwenye mada umezungumzia kuwa siyo ya tz kutokana na kibali,hujataja wasiwasi wako kwenye uwezo wa kubeba abiria wengi.
 
Sasa hapo swali lako hasa ni nini? kwani namba ya usajiri tu inaonyesha hivyo, kuwa hiyo ndege haijasajiriwa tz. Mala ndege yenyewe ina uwezo mdogo wa kubeba abiria!!
 
Lakini kwenye mada umezungumzia kuwa siyo ya tz kutokana na kibali,hujataja wasiwasi wako kwenye uwezo wa kubeba abiria wengi.

hizi ni dalala za mtu kutoa mada bila kuelewa malengo hasa ni nini?...msamehe tu
 
Je ni kweli wakuu helikopta anayoitumia EL sio ya Tanzania kutokamna na namba za helikopta hiyo ambayo ni 5Y-SGM

Wanayotumia CCM nayo umeangalia reg yake.........?.......msiwe mnakurupuka jamani.......mnaonekana malofa..........
 
Mbona nasikia hata ile ndege moja pekee ya Atcl siyo mali ya Tanzania?eti ni kweli?

Hehe he he ni kweli mkuu tena inatumika kodi zetu kulipia huduma lakini hatuhoji ila ya mtu na chama chake kwa mfuko wao wenyewe na bakuli la wanachama jamaa kaianzishia uzi jukwaani.
 
Hivi kumbe kuna helicopter made in Tanzania.....nijuavyo chopa zote ni za nje ya Tz
 
Je ni kweli wakuu helikopta anayoitumia EL sio ya Tanzania kutokamna na namba za helikopta hiyo ambayo ni 5Y-SGM
Hadi chopa? Kweli ccm mmechoka kimawazo. Maccm mwaka huu tena!? Hapana sema hapana kwa masilahi mapana ya Taifa letu. Tumewavumilia sana kwa madudu yao miaka yote, sasa tuseme basiiiiii. Chagua Ukawa chagua Lowassa.
 
Back
Top Bottom