Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
unafahamu hasa matumizi yake??..
transport
unafahamu hasa matumizi yake??..
Tatizo sio kukodi chopa nje ya nchi au kupata kibali?Bali ni chopa yenyeww kuwa na uwezo MDOGO wa kubeba watu weng
Mbona nasikia hata ile ndege moja pekee ya Atcl siyo mali ya Tanzania?eti ni kweli?
transport
Hadi chopa? Kweli ccm mmechoka kimawazo. Maccm mwaka huu tena!? Hapana sema hapana kwa masilahi mapana ya Taifa letu. Tumewavumilia sana kwa madudu yao miaka yote, sasa tuseme basiiiiii. Chagua Ukawa chagua Lowassa.
Je ni kweli wakuu helikopta anayoitumia EL sio ya Tanzania kutokamna na namba za helikopta hiyo ambayo ni 5Y-SGM
helcopter hailingani na hadhi ya pesa zake,angechukua chinook,ambayo inabeba hatya watu 15
Tatizo sio kukodi chopa nje ya nchi au kupata kibali?Bali ni chopa yenyeww kuwa na uwezo MDOGO wa kubeba watu weng