Ston Merchant
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 393
- 103
Serikali ya Tanzania inalijua hili kwa wazi na mapana yake kwamba hatuna haki hata ye tone moja la maji ya Ziwa Malawi.
Serikali haitakiwi kulifanya jambo hili la kisiasa maana kama ni siasa zako utacheza na wananchi wako lakini unaoweza kuwapiga mabomu ya machozi lakini si kwa watu kama Malawi ambao ni Soveregn state subject to international laws.
Kama kweli Tanzania inataka hata tone moja la Ziwa Nyasa, iachane na porojo za kisiasa na i-file lawsuit for the boundary ili mpaka uwe katikati ya maji kama wengine duniani.
Vinginevyo tutapigizana kelele kama wajinga na hakuna litakalotokea. Tutasubiri Rais wa Malawi tunayechekeana naye anayewapiga mabomu wapinzani wake nchini mwake, sisi tunatumia ziwa lile na kudhani kama ni letu.
Kesho wapinzani wa Malawi waliokuwa wanapigwa mabomu ya mchozi wanakamata nchi, na nyinyi mliokuwa ama mnakaa kimya bila kumkemea anaona mnatumia ziwa lake na si lenu. Kwa nini asilie na nyinyi.
Mimi huyu mama wa Malawi namkubali. Inawezekana anawapa fundisho wote waliomkera akiwa mpinzani wa serikali. Unadhani kwa nini alisema hamtaki Omar Bashir kuja mle.
Mwacheni mama yetu awafundishe adabu wote wanaodhani tutafumbia maonevu ya dunia na ndipo mjue muonewaji akikamata power mjue litakalotokea.
Najua kuna watakaonikejeli kuwa sina uzalendo. Hapa si suala la uzalendo. Baba na mama yangu wakifanya ujambazi wa kumdhulumu jirani yangu siwezi kukaa kimya na kuwatetea kwa kinachoitwa uzalendo. Huo ni wizi.
Nendeni Mahakama za Kimataifa kuwashinda wamalawi na msidhani wa kupelekwa mahakamani ni migomo ya madktari na walimu tu.
1. una mkubali kwa lipi hasa................?
2. awafundishe nani........?
Heligoland treaty temporarily settled colonial disputes between Germany and Great Britain.
T was clearly meant for temporal solution ss unataka kujustify nn hpa....
Section VI states "any correction of the demarcation lines described in Articles I to IV that becomes necessary due to local requirements may be undertaken by agreement between the two powers."
F one party fails to abide with section VI the results will either be taking the case to the International Court of Justice or WAR nothing else......
Liwe Liwalo..........