Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJF
Hakuna chanzo kinachosema Brazil Kama wenyewe wanataka shilling ngapi. 7 billion wanazosema ni za TFF na serikali ndo wanasema. Kuna habari kwamba mechi kati ya brazil na Tanzania ni kati ya chanzo cha sisimu katika kampeni zake za uchaguzi 2010.
See the difference:
Zimbabwe used $1.8bill Tanzania $7 or $6 billions sometimes they say $3billion
Lower entrance in Zimbabwe is $10 TAnzania Tshs 30,000
Highest entrance in Zimbabwe is $60 Tanzania TShs 200,000
Kweli kwa Mtaji huu watanzania tuichangie CCM oct 2010 wafanye tena madudu
Hakuna chanzo kinachosema Brazil Kama wenyewe wanataka shilling ngapi. 7 billion wanazosema ni za TFF na serikali ndo wanasema. Kuna habari kwamba mechi kati ya brazil na Tanzania ni kati ya chanzo cha sisimu katika kampeni zake za uchaguzi 2010.
See the difference:
Zimbabwe used $1.8bill Tanzania $7 or $6 billions sometimes they say $3billion
Lower entrance in Zimbabwe is $10 TAnzania Tshs 30,000
Highest entrance in Zimbabwe is $60 Tanzania TShs 200,000
Kweli kwa Mtaji huu watanzania tuichangie CCM oct 2010 wafanye tena madudu