Ulimi uliponza kichwaNdio uanaume huo.....
Hebu lea familia....
Anyway mkeo hajawahi nunua hata chumvi?
Kununuoia watu wa kwenu na kwao?
Hebu funguka.....Ulimi uliponza kichwa
Wanawake huwa mnachangiaga upuuzi sana nyuzi kama hizi,na niliposoma tu ushauri nikajua kuwa lazima huyu ni mwanamke,jinga kabisa nini maana ya kusaidiana kwenye maisha sasa, alafu ukichunguza utakuta ela anasaidia tu kwao utaskia mama , mara mdogo wngu mara ndugu yangu yule,upuuzi mtupu.huo ndio uanaume sasa. wakati hana biashara alikuwa anachangia nini? punguza complication ndoa yako itadumu
Nilijua utamtetea Mwanamke mwenzako. Ila usithubutu kuficha ngawira zako kwenye kibubuHebu funguka.....
HahajahahahaNilijua utamtetea Mwanamke mwenzako. Ila usithubutu kuficha ngawira zako kwenye kibubu
Akili za kipuuzi hizi.Huo ndio ubaba komaa mwanangu wanawake huwa hawapigi donation,ukitaka kusaidiwa utasaidiwa nawenzako
Ndiyo visingizio vyenu.Hahajahahaha
Kibubu kitafichwa.....
Si unajua tunakimbia 18% ya vat???
Ila pesa ya mwanamke inatumika kwenye mambo mengi madogomadogo ambayo hamya-appreciate....
Haha halafu uckute anaemhonga yupo humu JF anakuchoraaa tuMpe makato kwa mwezi laki moja au mbili.
Ukishangaa aisee anaweza hata kuwa anahonga mtu pembeni.
Chezeya wanawake weye
Mmeo atakua ana shida sanahuo ndio uanaume sasa. wakati hana biashara alikuwa anachangia nini? punguza complication ndoa yako itadumu
anajenga huyo kisha atatafuta sababu muachane
Sikutegemea ungejibu hivi[emoji3]Ndio uanaume huo.....
Hebu lea familia....
Anyway mkeo hajawahi nunua hata chumvi?
Kununuoia watu wa kwenu na kwao?
noSeriously...do u look like her.!?