Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Weee!!!, Ng'ombe wa Maziwa huwa wanachoka ukiwakamua sana, Ndio maana huwa wanarusha mateke.Lakini ng'ombe hajawahi kuchoka kaka
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Weee!!!, Ng'ombe wa Maziwa huwa wanachoka ukiwakamua sana, Ndio maana huwa wanarusha mateke.Lakini ng'ombe hajawahi kuchoka kaka
Kwahiyo ndio muda wa kurusha mateke huu 😂😂😂😂😂Weee!!!, Ng'ombe wa Maziwa huwa wanachoka ukiwakamua sana, Ndio maana huwa wanarusha mateke.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Ndiooo.Kwahiyo ndio muda wa kurusha mateke huu
Nimecheka 😂😂😂 ngoja tuwape majani na mashudu kwa wingi tuendelee kuwakamua
Hayo ndo maneno.Mtuachie mbususu tuzichakate kwa kadiri tunavyoweza na tunavyotaka pesa tutawapa tu,sio wengine wanatukamua pesa Halafu kitumbua wanatubania.Nimecheka ngoja tuwape majani na mashudu kwa wingi tuendelee kuwakamua
KuMBe, basi asiolewe Tu akae hukohuko kwao ili hao wazazi wafaidi jasho Hilo. Ila Mambo ya kuolewa halafu anatoka home alfajiri anarudi usiku hatimizi majukumu yake kama mke na hakuna faida yoyote kwenye familia basi aache kazi Tu vinginevyo atapata tabu Sana maana at last eti nikitoka talaka Tu mali zanguati zake zipo huko kwaoKwani ulimsomesha wewe mkuu? Acha wazazi wake wafaidi jasho walilolitoa kumsomesha mtoto wao
Kwani na yeye alinisimesha?Kwani ulimsomesha wewe mkuu? Acha wazazi wake wafaidi jasho walilolitoa kumsomesha mtoto wao