Hela ya mwanamke huliwa na nani?

Kwani ulimsomesha wewe mkuu? Acha wazazi wake wafaidi jasho walilolitoa kumsomesha mtoto wao
KuMBe, basi asiolewe Tu akae hukohuko kwao ili hao wazazi wafaidi jasho Hilo. Ila Mambo ya kuolewa halafu anatoka home alfajiri anarudi usiku hatimizi majukumu yake kama mke na hakuna faida yoyote kwenye familia basi aache kazi Tu vinginevyo atapata tabu Sana maana at last eti nikitoka talaka Tu mali zanguati zake zipo huko kwao
 
Back
Top Bottom