Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,625
Tuishi nao kwa akili au tuishi nao mbali?!Hawa jamaa wana ratiba nyingi mpaka basi! Wakati mwingine tuwaache tu. Kwanza ni viumbe wenye tamaa sana! Yaani akiona kitu halafu akakipenda, basi ni lazima tu atakinunua. Wana mahitaji mengi sana kuliko sisi wanaume! Mfano kwenda saluni, kupaka rangi na kusafisha kucha, nk.