saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
LEO nimemsikiliza Waziri wa Katiba Damas Ndumbaro anavyojibu hoja za wabunge kwa heshima na unyenyekevu mkubwa kama chombo kinachoisimamia serikali.
Kwanini Mwigulu, Bashe na Makamba wamekuwa wakitoa kauli za dharau bungeni wanajiamini na nini?
Mwigulu : Mimi Dokta yangu ni ya darasani sio ya heshima, mimi ni mbobezi wa uchumi tujadili mambo ya waganga wa kienyeji
Bashe: Bunge hili ndio limesababisha matatizo makubwa ya wakulima na sitokaa niwasikilize juu ya ninachoamini
Makamba: Kama hamkupenda mimi kuwa waziri au Samia kuwa rais tuongee mengine nikifeli mimi imefeli nchi
Makamba akaenda mbali zaidi akachelewa bungeni wakati hotuba ya wizara yake ikiendelea hadi bunge likaahirishwa kumsubiri aingie ukumbini.
Kwanini Mwigulu, Bashe na Makamba wamekuwa wakitoa kauli za dharau bungeni wanajiamini na nini?
Mwigulu : Mimi Dokta yangu ni ya darasani sio ya heshima, mimi ni mbobezi wa uchumi tujadili mambo ya waganga wa kienyeji
Bashe: Bunge hili ndio limesababisha matatizo makubwa ya wakulima na sitokaa niwasikilize juu ya ninachoamini
Makamba: Kama hamkupenda mimi kuwa waziri au Samia kuwa rais tuongee mengine nikifeli mimi imefeli nchi
Makamba akaenda mbali zaidi akachelewa bungeni wakati hotuba ya wizara yake ikiendelea hadi bunge likaahirishwa kumsubiri aingie ukumbini.