Luiz David
Member
- Jun 13, 2013
- 56
- 20
Nafuatilia kwa makini mno yanayotokea chadema,,,, wanao yapinga wanakuja na hoja za ubinafsi na si zenye mahadhi ya chama,,,wanaibua vioja vya udini,ukanda na ukabila,,,,....ndugu zangu kujisafisha kupo.tuelewane na tuwe majasiri..........kina kitila hawajaweka ushahidi wa kutosha wa matumizi ya zile posho zao toka kwa kina kimei,wasira nk,,,,,,na je hizo posho zina afya gani kwa chama?.....naamini hili sakata halihitaji kujibiwa kwa vioja bali hoja za msingi....kama kweli tumeamua kuwa katika siasa za ushindani.