Elius W Ndabila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2019
- 339
- 678
Sasa namba ya simu unataka huyo Zitto akutumie mzigo yaishe?Na Elius Ndabila
0768239284
Zitto Kabwe ni moja ya vijana waliojizolea sana umaarufu kwenye siasa za 2005-2015.Alikukuwa ni kijana alikuwa anajenga hoja. Uzito wa hoja zake ulimpa mashabiki wengi na kujipatia umaarufu mkubwa. Ninamzungumzia Zitto yule si huyu mlopokaji, mubwatukaji na mzushi. Ninamzungumzia Zitto SMART aliyeshawishi vijana wengi kuipenda siasa hasa za hoja na si vihoja.
Jana nilipoona habari za Prof Assad zikienea kuwa katekwa nilishituka sana. Lakini baadae nilijiuliza maswali mengi, kwa nini habari za Prof Assad anayetoa ni Zitto? Twitter, Instagram, fb na jf alikuwa analipoti Zitto tu. Nilijaribu kuuliza kwa nini Zitto amekuwa front sana kutoa habari za Prof Assad? Nilijibiwa kuwa ni family friend. Nikasema basi sawa kwa kuwa hata yeye kwenye thread yake alisema ameongea na familia yake.
Baada ya muda mfupi Zitto alitwitte kuwa Prof Assad yupo salama na si muda mrefu tutawajuza kinachoendelea. Nilirudi tena kwenye group la whatsapp nikauliza ZITTO anatuachia maswali zaidi. Niliuliza Zitto ameongea na watekaji na wakamwambia Assad yuko salama au ameongea na Prof Assad? Kama ameongea na watekaji amepata wapi namba za watekaji? Nilisema issue hii ni kama ya kutengeneza na Kabwe anaweza kuwa program manager. Niliandika hivyo kutokana na mtiririko wa maandiko yake kwenye mitandao.
Baada ya muda mfupi usiku niliona Twitter ya Prof Assad ikikanusha kuwa yeye yupo na hajatekwa bali yupo na familia yake. Ujumbe huu ulijibu maswali yangu ya aya hii hapa juu kuwa Zitto ni mchochezi, mnafiki na mwingi. Lakini nilijiuliza kwa nini ameandika hivi na kuzua taharuki? Sikupata majibu.
Rai yangu ni kuliomba jeshi la polisi kumkamata Zitto na asaidie kutoa maelezo kuwa alipata wapi uhalali wa kumzushia Prof Assad? Je Zitto alikuwa anafanya mpango wa kumteka Assad ili aisingizie serikali na kukwama au? Ninadhani vyombo vya usalama vinaweza kuanzia hapa. Amefanya kosa kubwa kwa mjibu wa sheria za kimtandao.
Watanzania muda wote siasa Mh.Rais kasema tufanye kazi siasa 2020Na Elius Ndabila
0768239284
Zitto Kabwe ni moja ya vijana waliojizolea sana umaarufu kwenye siasa za 2005-2015.Alikukuwa ni kijana alikuwa anajenga hoja. Uzito wa hoja zake ulimpa mashabiki wengi na kujipatia umaarufu mkubwa. Ninamzungumzia Zitto yule si huyu mlopokaji, mubwatukaji na mzushi. Ninamzungumzia Zitto SMART aliyeshawishi vijana wengi kuipenda siasa hasa za hoja na si vihoja.
Jana nilipoona habari za Prof Assad zikienea kuwa katekwa nilishituka sana. Lakini baadae nilijiuliza maswali mengi, kwa nini habari za Prof Assad anayetoa ni Zitto? Twitter, Instagram, fb na jf alikuwa analipoti Zitto tu. Nilijaribu kuuliza kwa nini Zitto amekuwa front sana kutoa habari za Prof Assad? Nilijibiwa kuwa ni family friend. Nikasema basi sawa kwa kuwa hata yeye kwenye thread yake alisema ameongea na familia yake.
Baada ya muda mfupi Zitto alitwitte kuwa Prof Assad yupo salama na si muda mrefu tutawajuza kinachoendelea. Nilirudi tena kwenye group la whatsapp nikauliza ZITTO anatuachia maswali zaidi. Niliuliza Zitto ameongea na watekaji na wakamwambia Assad yuko salama au ameongea na Prof Assad? Kama ameongea na watekaji amepata wapi namba za watekaji? Nilisema issue hii ni kama ya kutengeneza na Kabwe anaweza kuwa program manager. Niliandika hivyo kutokana na mtiririko wa maandiko yake kwenye mitandao.
Baada ya muda mfupi usiku niliona Twitter ya Prof Assad ikikanusha kuwa yeye yupo na hajatekwa bali yupo na familia yake. Ujumbe huu ulijibu maswali yangu ya aya hii hapa juu kuwa Zitto ni mchochezi, mnafiki na mwingi. Lakini nilijiuliza kwa nini ameandika hivi na kuzua taharuki? Sikupata majibu.
Rai yangu ni kuliomba jeshi la polisi kumkamata Zitto na asaidie kutoa maelezo kuwa alipata wapi uhalali wa kumzushia Prof Assad? Je Zitto alikuwa anafanya mpango wa kumteka Assad ili aisingizie serikali na kukwama au? Ninadhani vyombo vya usalama vinaweza kuanzia hapa. Amefanya kosa kubwa kwa mjibu wa sheria za kimtandao.
Una uhakika na hiyo account kwamba ni yake au na wewe unakuja kimbelele.Na Elius Ndabila
0768239284
Zitto Kabwe ni moja ya vijana waliojizolea sana umaarufu kwenye siasa za 2005-2015.Alikukuwa ni kijana alikuwa anajenga hoja. Uzito wa hoja zake ulimpa mashabiki wengi na kujipatia umaarufu mkubwa. Ninamzungumzia Zitto yule si huyu mlopokaji, mubwatukaji na mzushi. Ninamzungumzia Zitto SMART aliyeshawishi vijana wengi kuipenda siasa hasa za hoja na si vihoja.
Jana nilipoona habari za Prof Assad zikienea kuwa katekwa nilishituka sana. Lakini baadae nilijiuliza maswali mengi, kwa nini habari za Prof Assad anayetoa ni Zitto? Twitter, Instagram, fb na jf alikuwa analipoti Zitto tu. Nilijaribu kuuliza kwa nini Zitto amekuwa front sana kutoa habari za Prof Assad? Nilijibiwa kuwa ni family friend. Nikasema basi sawa kwa kuwa hata yeye kwenye thread yake alisema ameongea na familia yake.
Baada ya muda mfupi Zitto alitwitte kuwa Prof Assad yupo salama na si muda mrefu tutawajuza kinachoendelea. Nilirudi tena kwenye group la whatsapp nikauliza ZITTO anatuachia maswali zaidi. Niliuliza Zitto ameongea na watekaji na wakamwambia Assad yuko salama au ameongea na Prof Assad? Kama ameongea na watekaji amepata wapi namba za watekaji? Nilisema issue hii ni kama ya kutengeneza na Kabwe anaweza kuwa program manager. Niliandika hivyo kutokana na mtiririko wa maandiko yake kwenye mitandao.
Baada ya muda mfupi usiku niliona Twitter ya Prof Assad ikikanusha kuwa yeye yupo na hajatekwa bali yupo na familia yake. Ujumbe huu ulijibu maswali yangu ya aya hii hapa juu kuwa Zitto ni mchochezi, mnafiki na mwingi. Lakini nilijiuliza kwa nini ameandika hivi na kuzua taharuki? Sikupata majibu.
Rai yangu ni kuliomba jeshi la polisi kumkamata Zitto na asaidie kutoa maelezo kuwa alipata wapi uhalali wa kumzushia Prof Assad? Je Zitto alikuwa anafanya mpango wa kumteka Assad ili aisingizie serikali na kukwama au? Ninadhani vyombo vya usalama vinaweza kuanzia hapa. Amefanya kosa kubwa kwa mjibu wa sheria za kimtandao.
Na Elius Ndabila
0768239284
Zitto Kabwe ni moja ya vijana waliojizolea sana umaarufu kwenye siasa za 2005-2015.Alikukuwa ni kijana alikuwa anajenga hoja. Uzito wa hoja zake ulimpa mashabiki wengi na kujipatia umaarufu mkubwa. Ninamzungumzia Zitto yule si huyu mlopokaji, mubwatukaji na mzushi. Ninamzungumzia Zitto SMART aliyeshawishi vijana wengi kuipenda siasa hasa za hoja na si vihoja.
Jana nilipoona habari za Prof Assad zikienea kuwa katekwa nilishituka sana. Lakini baadae nilijiuliza maswali mengi, kwa nini habari za Prof Assad anayetoa ni Zitto? Twitter, Instagram, fb na jf alikuwa analipoti Zitto tu. Nilijaribu kuuliza kwa nini Zitto amekuwa front sana kutoa habari za Prof Assad? Nilijibiwa kuwa ni family friend. Nikasema basi sawa kwa kuwa hata yeye kwenye thread yake alisema ameongea na familia yake.
Baada ya muda mfupi Zitto alitwitte kuwa Prof Assad yupo salama na si muda mrefu tutawajuza kinachoendelea. Nilirudi tena kwenye group la whatsapp nikauliza ZITTO anatuachia maswali zaidi. Niliuliza Zitto ameongea na watekaji na wakamwambia Assad yuko salama au ameongea na Prof Assad? Kama ameongea na watekaji amepata wapi namba za watekaji? Nilisema issue hii ni kama ya kutengeneza na Kabwe anaweza kuwa program manager. Niliandika hivyo kutokana na mtiririko wa maandiko yake kwenye mitandao.
Baada ya muda mfupi usiku niliona Twitter ya Prof Assad ikikanusha kuwa yeye yupo na hajatekwa bali yupo na familia yake. Ujumbe huu ulijibu maswali yangu ya aya hii hapa juu kuwa Zitto ni mchochezi, mnafiki na mwingi. Lakini nilijiuliza kwa nini ameandika hivi na kuzua taharuki? Sikupata majibu.
Rai yangu ni kuliomba jeshi la polisi kumkamata Zitto na asaidie kutoa maelezo kuwa alipata wapi uhalali wa kumzushia Prof Assad? Je Zitto alikuwa anafanya mpango wa kumteka Assad ili aisingizie serikali na kukwama au? Ninadhani vyombo vya usalama vinaweza kuanzia hapa. Amefanya kosa kubwa kwa mjibu wa sheria za kimtandao.
Sasa namba ya simu unataka huyo Zitto akutumie mzigo yaishe?
Ashitakiwe na akishindwa kuithibitishia Mahakama ukweli wa hii taarifa ya taharuki aloitoa jana, AFUNGWE maximum sentence ya hili kosa ili iwe fundisho kwa wazushi wengine wa mtandaoniNa Elius Ndabila
0768239284
Zitto Kabwe ni moja ya vijana waliojizolea sana umaarufu kwenye siasa za 2005-2015.Alikukuwa ni kijana alikuwa anajenga hoja. Uzito wa hoja zake ulimpa mashabiki wengi na kujipatia umaarufu mkubwa. Ninamzungumzia Zitto yule si huyu mlopokaji, mubwatukaji na mzushi. Ninamzungumzia Zitto SMART aliyeshawishi vijana wengi kuipenda siasa hasa za hoja na si vihoja.
Jana nilipoona habari za Prof Assad zikienea kuwa katekwa nilishituka sana. Lakini baadae nilijiuliza maswali mengi, kwa nini habari za Prof Assad anayetoa ni Zitto? Twitter, Instagram, fb na jf alikuwa analipoti Zitto tu. Nilijaribu kuuliza kwa nini Zitto amekuwa front sana kutoa habari za Prof Assad? Nilijibiwa kuwa ni family friend. Nikasema basi sawa kwa kuwa hata yeye kwenye thread yake alisema ameongea na familia yake.
Baada ya muda mfupi Zitto alitwitte kuwa Prof Assad yupo salama na si muda mrefu tutawajuza kinachoendelea. Nilirudi tena kwenye group la whatsapp nikauliza ZITTO anatuachia maswali zaidi. Niliuliza Zitto ameongea na watekaji na wakamwambia Assad yuko salama au ameongea na Prof Assad? Kama ameongea na watekaji amepata wapi namba za watekaji? Nilisema issue hii ni kama ya kutengeneza na Kabwe anaweza kuwa program manager. Niliandika hivyo kutokana na mtiririko wa maandiko yake kwenye mitandao.
Baada ya muda mfupi usiku niliona Twitter ya Prof Assad ikikanusha kuwa yeye yupo na hajatekwa bali yupo na familia yake. Ujumbe huu ulijibu maswali yangu ya aya hii hapa juu kuwa Zitto ni mchochezi, mnafiki na mwingi. Lakini nilijiuliza kwa nini ameandika hivi na kuzua taharuki? Sikupata majibu.
Rai yangu ni kuliomba jeshi la polisi kumkamata Zitto na asaidie kutoa maelezo kuwa alipata wapi uhalali wa kumzushia Prof Assad? Je Zitto alikuwa anafanya mpango wa kumteka Assad ili aisingizie serikali na kukwama au? Ninadhani vyombo vya usalama vinaweza kuanzia hapa. Amefanya kosa kubwa kwa mjibu wa sheria za kimtandao.
Pro Assad ana akaunti twita?.....Na Elius Ndabila
0768239284
Zitto Kabwe ni moja ya vijana waliojizolea sana umaarufu kwenye siasa za 2005-2015.Alikukuwa ni kijana alikuwa anajenga hoja. Uzito wa hoja zake ulimpa mashabiki wengi na kujipatia umaarufu mkubwa. Ninamzungumzia Zitto yule si huyu mlopokaji, mubwatukaji na mzushi. Ninamzungumzia Zitto SMART aliyeshawishi vijana wengi kuipenda siasa hasa za hoja na si vihoja.
Jana nilipoona habari za Prof Assad zikienea kuwa katekwa nilishituka sana. Lakini baadae nilijiuliza maswali mengi, kwa nini habari za Prof Assad anayetoa ni Zitto? Twitter, Instagram, fb na jf alikuwa analipoti Zitto tu. Nilijaribu kuuliza kwa nini Zitto amekuwa front sana kutoa habari za Prof Assad? Nilijibiwa kuwa ni family friend. Nikasema basi sawa kwa kuwa hata yeye kwenye thread yake alisema ameongea na familia yake.
Baada ya muda mfupi Zitto alitwitte kuwa Prof Assad yupo salama na si muda mrefu tutawajuza kinachoendelea. Nilirudi tena kwenye group la whatsapp nikauliza ZITTO anatuachia maswali zaidi. Niliuliza Zitto ameongea na watekaji na wakamwambia Assad yuko salama au ameongea na Prof Assad? Kama ameongea na watekaji amepata wapi namba za watekaji? Nilisema issue hii ni kama ya kutengeneza na Kabwe anaweza kuwa program manager. Niliandika hivyo kutokana na mtiririko wa maandiko yake kwenye mitandao.
Baada ya muda mfupi usiku niliona Twitter ya Prof Assad ikikanusha kuwa yeye yupo na hajatekwa bali yupo na familia yake. Ujumbe huu ulijibu maswali yangu ya aya hii hapa juu kuwa Zitto ni mchochezi, mnafiki na mwingi. Lakini nilijiuliza kwa nini ameandika hivi na kuzua taharuki? Sikupata majibu.
Rai yangu ni kuliomba jeshi la polisi kumkamata Zitto na asaidie kutoa maelezo kuwa alipata wapi uhalali wa kumzushia Prof Assad? Je Zitto alikuwa anafanya mpango wa kumteka Assad ili aisingizie serikali na kukwama au? Ninadhani vyombo vya usalama vinaweza kuanzia hapa. Amefanya kosa kubwa kwa mjibu wa sheria za kimtandao.
Ukimwangalia Zitto kwa makini utagundua ana tatazo kwenye saikolojia yake!
Kwanza pesa za kampeni 2020 hana, maana vichochoro vyake vyote alivyokuaga anategemea miaka yote kama vile kuwapiga majungu chadema na kulipwa na ccm, au kuwa mwenyekiti katika kamati za bunge kisha kujibebea mihela vyote hivyo kazibiwa.
Pili, akimuangalia Magufuli na ccm jinsi walivyo kula kwenye selikali za mitaa bila hata kusaza, basi anachanganyikiwa kabisa kwamba 2020 atafanya kazi gani baada ya ccm kutwaa jimbo lake?
Je, ataweza kuajiriwa awe anaamka saa 10 kuwahi kibaruani kama watumishi wengine badala ya raha anayopata sasa hivi akiwa mbunge anakesha Twitter huku akiendelea kula mshahara?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Professor alimaliza kwa kusema tusichokonoe viporo iwi wewe unajua ukubwa wa sentensi hiyo au umerukwa na akiri.Na Elius Ndabila
0768239284
Zitto Kabwe ni moja ya vijana waliojizolea sana umaarufu kwenye siasa za 2005-2015.Alikukuwa ni kijana alikuwa anajenga hoja. Uzito wa hoja zake ulimpa mashabiki wengi na kujipatia umaarufu mkubwa. Ninamzungumzia Zitto yule si huyu mlopokaji, mubwatukaji na mzushi. Ninamzungumzia Zitto SMART aliyeshawishi vijana wengi kuipenda siasa hasa za hoja na si vihoja.
Jana nilipoona habari za Prof Assad zikienea kuwa katekwa nilishituka sana. Lakini baadae nilijiuliza maswali mengi, kwa nini habari za Prof Assad anayetoa ni Zitto? Twitter, Instagram, fb na jf alikuwa analipoti Zitto tu. Nilijaribu kuuliza kwa nini Zitto amekuwa front sana kutoa habari za Prof Assad? Nilijibiwa kuwa ni family friend. Nikasema basi sawa kwa kuwa hata yeye kwenye thread yake alisema ameongea na familia yake.
Baada ya muda mfupi Zitto alitwitte kuwa Prof Assad yupo salama na si muda mrefu tutawajuza kinachoendelea. Nilirudi tena kwenye group la whatsapp nikauliza ZITTO anatuachia maswali zaidi. Niliuliza Zitto ameongea na watekaji na wakamwambia Assad yuko salama au ameongea na Prof Assad? Kama ameongea na watekaji amepata wapi namba za watekaji? Nilisema issue hii ni kama ya kutengeneza na Kabwe anaweza kuwa program manager. Niliandika hivyo kutokana na mtiririko wa maandiko yake kwenye mitandao.
Baada ya muda mfupi usiku niliona Twitter ya Prof Assad ikikanusha kuwa yeye yupo na hajatekwa bali yupo na familia yake. Ujumbe huu ulijibu maswali yangu ya aya hii hapa juu kuwa Zitto ni mchochezi, mnafiki na mwingi. Lakini nilijiuliza kwa nini ameandika hivi na kuzua taharuki? Sikupata majibu.
Rai yangu ni kuliomba jeshi la polisi kumkamata Zitto na asaidie kutoa maelezo kuwa alipata wapi uhalali wa kumzushia Prof Assad? Je Zitto alikuwa anafanya mpango wa kumteka Assad ili aisingizie serikali na kukwama au? Ninadhani vyombo vya usalama vinaweza kuanzia hapa. Amefanya kosa kubwa kwa mjibu wa sheria za kimtandao.
Na Elius Ndabila
0768239284
Zitto Kabwe ni moja ya vijana waliojizolea sana umaarufu kwenye siasa za 2005-2015.Alikukuwa ni kijana alikuwa anajenga hoja. Uzito wa hoja zake ulimpa mashabiki wengi na kujipatia umaarufu mkubwa. Ninamzungumzia Zitto yule si huyu mlopokaji, mubwatukaji na mzushi. Ninamzungumzia Zitto SMART aliyeshawishi vijana wengi kuipenda siasa hasa za hoja na si vihoja.
Jana nilipoona habari za Prof Assad zikienea kuwa katekwa nilishituka sana. Lakini baadae nilijiuliza maswali mengi, kwa nini habari za Prof Assad anayetoa ni Zitto? Twitter, Instagram, fb na jf alikuwa analipoti Zitto tu. Nilijaribu kuuliza kwa nini Zitto amekuwa front sana kutoa habari za Prof Assad? Nilijibiwa kuwa ni family friend. Nikasema basi sawa kwa kuwa hata yeye kwenye thread yake alisema ameongea na familia yake.
Baada ya muda mfupi Zitto alitwitte kuwa Prof Assad yupo salama na si muda mrefu tutawajuza kinachoendelea. Nilirudi tena kwenye group la whatsapp nikauliza ZITTO anatuachia maswali zaidi. Niliuliza Zitto ameongea na watekaji na wakamwambia Assad yuko salama au ameongea na Prof Assad? Kama ameongea na watekaji amepata wapi namba za watekaji? Nilisema issue hii ni kama ya kutengeneza na Kabwe anaweza kuwa program manager. Niliandika hivyo kutokana na mtiririko wa maandiko yake kwenye mitandao.
Baada ya muda mfupi usiku niliona Twitter ya Prof Assad ikikanusha kuwa yeye yupo na hajatekwa bali yupo na familia yake. Ujumbe huu ulijibu maswali yangu ya aya hii hapa juu kuwa Zitto ni mchochezi, mnafiki na mwingi. Lakini nilijiuliza kwa nini ameandika hivi na kuzua taharuki? Sikupata majibu.
Rai yangu ni kuliomba jeshi la polisi kumkamata Zitto na asaidie kutoa maelezo kuwa alipata wapi uhalali wa kumzushia Prof Assad? Je Zitto alikuwa anafanya mpango wa kumteka Assad ili aisingizie serikali na kukwama au? Ninadhani vyombo vya usalama vinaweza kuanzia hapa. Amefanya kosa kubwa kwa mjibu wa sheria za kimtandao.
Naunga mkono hojaZitto ni mchochezi, mnafiki, Zitto alikuwa anafanya mpango wa kumteka Assad ili aisingizie serikali. Amefanya kosa kubwa kwa mjibu wa sheria za kimtandao.
Usishangae ana clues za kutosha,shida inaanzia hapo unamkamataje huku ukijua na wewe mchafu.Naunga mkono hoja
PZitto Zuberi Kabwe ni Mchochezi. Akamatwe, Ashitakiwe kwa Uchochezi, adai Rais Magufuli ni...
Wanabodi, Akizungumza kwenye mahojiano ya live kwenye kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na kituo cha TV cha Clouds TV, akizungumzia kuhusu ndege mpya za Bombadier, (Wakati Rais Magufuli akizizindua, rais alisema ndege hizo ni mpya kabisa na zimenunuliwa kwa direct sale kutoka kiwandani, bila...www.jamiiforums.com
Si muache hizi mambo za kutekana ona sasa mnavyohangaika , na damage controlNa Elius Ndabila
0768239284
Zitto Kabwe ni moja ya vijana waliojizolea sana umaarufu kwenye siasa za 2005-2015.Alikukuwa ni kijana alikuwa anajenga hoja. Uzito wa hoja zake ulimpa mashabiki wengi na kujipatia umaarufu mkubwa. Ninamzungumzia Zitto yule si huyu mlopokaji, mubwatukaji na mzushi. Ninamzungumzia Zitto SMART aliyeshawishi vijana wengi kuipenda siasa hasa za hoja na si vihoja.
Jana nilipoona habari za Prof Assad zikienea kuwa katekwa nilishituka sana. Lakini baadae nilijiuliza maswali mengi, kwa nini habari za Prof Assad anayetoa ni Zitto? Twitter, Instagram, fb na jf alikuwa analipoti Zitto tu. Nilijaribu kuuliza kwa nini Zitto amekuwa front sana kutoa habari za Prof Assad? Nilijibiwa kuwa ni family friend. Nikasema basi sawa kwa kuwa hata yeye kwenye thread yake alisema ameongea na familia yake.
Baada ya muda mfupi Zitto alitwitte kuwa Prof Assad yupo salama na si muda mrefu tutawajuza kinachoendelea. Nilirudi tena kwenye group la whatsapp nikauliza ZITTO anatuachia maswali zaidi. Niliuliza Zitto ameongea na watekaji na wakamwambia Assad yuko salama au ameongea na Prof Assad? Kama ameongea na watekaji amepata wapi namba za watekaji? Nilisema issue hii ni kama ya kutengeneza na Kabwe anaweza kuwa program manager. Niliandika hivyo kutokana na mtiririko wa maandiko yake kwenye mitandao.
Baada ya muda mfupi usiku niliona Twitter ya Prof Assad ikikanusha kuwa yeye yupo na hajatekwa bali yupo na familia yake. Ujumbe huu ulijibu maswali yangu ya aya hii hapa juu kuwa Zitto ni mchochezi, mnafiki na mwingi. Lakini nilijiuliza kwa nini ameandika hivi na kuzua taharuki? Sikupata majibu.
Rai yangu ni kuliomba jeshi la polisi kumkamata Zitto na asaidie kutoa maelezo kuwa alipata wapi uhalali wa kumzushia Prof Assad? Je Zitto alikuwa anafanya mpango wa kumteka Assad ili aisingizie serikali na kukwama au? Ninadhani vyombo vya usalama vinaweza kuanzia hapa. Amefanya kosa kubwa kwa mjibu wa sheria za kimtandao.