Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
Jamani naomba kujuzwa kama kuna yoyote anayejua hili swala la mkuu wa kaya kauwauzia wamarekani hekari laki nane huko Lindi na Mtwara. Kuna ukweli? Kuna rafiki yangu yuko huko tulikuwa tunaongea naye kwenye skpe sasa hivi akaniuliza kama nina habari kuhusu hili. Nikamwambia ngoja niulize JF