Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,484
- 35,638
Duh
Viti vyangu hivyo vitu portable au carriable
Ni kweli biriyani haifai na sisapoti...Mwenye jukumu la kumtengeza mwanamke ni mwanaume ( ambae ni mume ). Mwanaume unaweza mfanya mwanamke vile utakavyo, unless mwanamke awe shingo ngumu. All in all.. Mwanamke ahata akizembea kabisa, kule biliani haifai na kavuta mipaka kupakua kabisa kijana wa kazi.. na anamvisha shangaa hapaanaaa aisee
Mambo yangu na coco yaache kama yalivyoJadili mada na si mtu, didn't they teach you that?
Mwenye ndoa ni mwanamke, mwenye kuifanya ndoa iwe ndoa na iendelee kuwa moto ni mwanaume. Pale ambapo mwanaume anakwepa majukumu, ndipo bomoko la ndoa linaanza, mwanamke hata awe vipi, as long mwanaume anataka awe namna gani inawezekana. Ingawa inaweza isi work 100%.. Ndoa zinaanza kufa pale wanaume tunapo zembea mambo flani au kushindwa kusoma baadhi ya ishara wanaita red flag.. Ndoa tamu sanaNi kweli biriyani haifai na sisapoti...
Ujue hizi tabia mbaya zinazofanywa na wanandoa hazikuanza tu!!!!! Nina na Niko sehemu ambayo nakutana na wanandoa wengi kwenye migogoro.....
Sasa ndani ya ndoa kuanzia mwaka wa tano ndoa nyingi zinaanza mdogo mdogo kwenda chini......
Mama atakaa vizuri baba anaweka..... Wanaume ni wavumilivu sanaaaa!!!! Ataanza kuchoka burudani ataanza kutafuta baa na mdogo mdogo atapata washauri na ushauri ataufanyia kazi na atajifunza vitu vipyaa
Unadhani wazee wa zamani walikuwa hawatoki njeee walitoka na mke hakujua na heshima ilikuwepo...
Sasa mwanaume akiridhika anaweza kumfanya chochote na ndio maana huyo baba kaleta mtu ndani Tena jinsia tofauti.
Ndoa ikiwa na ushirikiano itapunguza na kuepusha vitu vingi sana.
kube nafaidi sanaa mwanawane😊Viti vyangu hivyo vitu portable au carriable
Kabisa,,, na kwa namna Fulani naona tumeelewana na Asante kwa kunielewa.Mwenye ndoa ni mwanamke, mwenye kuifanya ndoa iwe ndoa na iendelee kuwa moto ni mwanaume. Pale ambapo mwanaume anakwepa majukumu, ndipo bomoko la ndoa linaanza, mwanamke hata awe vipi, as long mwanaume anataka awe namna gani inawezekana. Ingawa inaweza isi work 100%.. Ndoa zinaanza kufa pale wanaume tunapo zembea mambo flani au kushindwa kusoma baadhi ya ishara wanaita red flag.. Ndoa tamu sana
Nimakuelewa mkuuKabisa,,, na kwa namna Fulani naona tumeelewana na Asante kwa kunielewa.
sio hekaheka za ndoa,ni hekaheka za wanandoaHey wajaa!
Kumbe huko ndoani, kuna njegeka hivii? Watu na ndoa zao mjinii, afu sio shida zao sasa.
Ktk kitu nachochukia na sipendi ni UNAFIKI na KUTOJIKUBALI/ KUKUBALI UHALISIA, kwann uzunguke? Kwann uishi maisha ya mateso? Mahangaiko, eti kisa kuridhisha waja na jamii! Ili iweje yaan? Na kwa kipi hasa? Usawa huu uhahe kuhusu watu watakuonaje? Au kukuchukuliaje? Si utumwa kabisa huu.
Mwisho wa siku ni unaishia kudhalilika na kufadhaika, kile ulichokilinda au kukificha, kinakuwa wazi na hadharani na kinageuka adui au tatizo sasa, lol
Kwa scenario hii, huyu mume ni mpumbavu, toka lini bi mdogo unamleta ndani ya nyumba yako? Tena aishi na mke mwenza? Bi mdogo mwenyewe toleo jipya? Kabisaa? Wacha nicheke? 😂😂😂😂😂, sio kwa ujasiri huo mweeh.
Nae bi mdogo kukubali kuishi na mke mwenza? Haogopii? Ila sometimes toleo jipya wana ujasiri na hawaogopi kitu yaan, mume wa mtu kamchukua na ana mmiliki humo humo ndani, yaan hana wasi wasi, anavaa bikini, shumizi, jamani hadi shangaa anavaa mwayaa 😂😂😂😂😂 aiiiih halali mume achanginyikiwe, na ukute ana umbo maridhawa, aaahView attachment 3446068View attachment 3446069View attachment 3446070 imeishaa hiyoo.
Mambo ndio hayo huko ndoani, uke wenzasio hauepukiki, sasa utaamua awe ke mwenzio, au toleo jipya.
😂😂😂😂😂😂
Mambo ya New Version HayoHey wajaa!
Kumbe huko ndoani, kuna njegeka hivii? Watu na ndoa zao mjinii, afu sio shida zao sasa.
Ktk kitu nachochukia na sipendi ni UNAFIKI na KUTOJIKUBALI/ KUKUBALI UHALISIA, kwann uzunguke? Kwann uishi maisha ya mateso? Mahangaiko, eti kisa kuridhisha waja na jamii! Ili iweje yaan? Na kwa kipi hasa? Usawa huu uhahe kuhusu watu watakuonaje? Au kukuchukuliaje? Si utumwa kabisa huu.
Mwisho wa siku ni unaishia kudhalilika na kufadhaika, kile ulichokilinda au kukificha, kinakuwa wazi na hadharani na kinageuka adui au tatizo sasa, lol
Kwa scenario hii, huyu mume ni mpumbavu, toka lini bi mdogo unamleta ndani ya nyumba yako? Tena aishi na mke mwenza? Bi mdogo mwenyewe toleo jipya? Kabisaa? Wacha nicheke? 😂😂😂😂😂, sio kwa ujasiri huo mweeh.
Nae bi mdogo kukubali kuishi na mke mwenza? Haogopii? Ila sometimes toleo jipya wana ujasiri na hawaogopi kitu yaan, mume wa mtu kamchukua na ana mmiliki humo humo ndani, yaan hana wasi wasi, anavaa bikini, shumizi, jamani hadi shangaa anavaa mwayaa 😂😂😂😂😂 aiiiih halali mume achanginyikiwe, na ukute ana umbo maridhawa, aaahView attachment 3446068View attachment 3446069View attachment 3446070 imeishaa hiyoo.
Mambo ndio hayo huko ndoani, uke wenza hauepukiki, sasa utaamua awe ke mwenzio, au toleo jipya.
😂😂😂😂😂😂
Kumbe mkeo huwa unanwomba anakunyimaHaya sasa... Wake zetu tukiwaomba vitu vilivyokatazwa muwe mnatupea
Kwahiyo unapigilia msumari Wenzio wasioelewe kisa kosa la mtu mmoja? Una kaz sana inaonekana umeshajikatia tamaa kitamboHey wajaa!
Kumbe huko ndoani, kuna njegeka hivii? Watu na ndoa zao mjinii, afu sio shida zao sasa.
Ktk kitu nachochukia na sipendi ni UNAFIKI na KUTOJIKUBALI/ KUKUBALI UHALISIA, kwann uzunguke? Kwann uishi maisha ya mateso? Mahangaiko, eti kisa kuridhisha waja na jamii! Ili iweje yaan? Na kwa kipi hasa? Usawa huu uhahe kuhusu watu watakuonaje? Au kukuchukuliaje? Si utumwa kabisa huu.
Mwisho wa siku ni unaishia kudhalilika na kufadhaika, kile ulichokilinda au kukificha, kinakuwa wazi na hadharani na kinageuka adui au tatizo sasa, lol
Kwa scenario hii, huyu mume ni mpumbavu, toka lini bi mdogo unamleta ndani ya nyumba yako? Tena aishi na mke mwenza? Bi mdogo mwenyewe toleo jipya? Kabisaa? Wacha nicheke? 😂😂😂😂😂, sio kwa ujasiri huo mweeh.
Nae bi mdogo kukubali kuishi na mke mwenza? Haogopii? Ila sometimes toleo jipya wana ujasiri na hawaogopi kitu yaan, mume wa mtu kamchukua na ana mmiliki humo humo ndani, yaan hana wasi wasi, anavaa bikini, shumizi, jamani hadi shangaa anavaa mwayaa 😂😂😂😂😂 aiiiih halali mume achanginyikiwe, na ukute ana umbo maridhawa, aaahView attachment 3446068View attachment 3446069View attachment 3446070 imeishaa hiyoo.
Mambo ndio hayo huko ndoani, uke wenza hauepukiki, sasa utaamua awe ke mwenzio, au toleo jipya.
😂😂😂😂😂😂
Hahah,,,, Hatari sana,.. wameshawaovertake wanawake.Chezea New version weyeee!! Wako winja winja, hawapoi wala hawaboi. Lol