cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,129
Hey wajaa!
Kumbe huko ndoani, kuna njegeka hivii? Watu na ndoa zao mjinii, afu sio shida zao sasa.
Ktk kitu nachochukia na sipendi ni UNAFIKI na KUTOJIKUBALI/ KUKUBALI UHALISIA, kwann uzunguke? Kwann uishi maisha ya mateso? Mahangaiko, eti kisa kuridhisha waja na jamii! Ili iweje yaan? Na kwa kipi hasa? Usawa huu uhahe kuhusu watu watakuonaje? Au kukuchukuliaje? Si utumwa kabisa huu.
Mwisho wa siku ni unaishia kudhalilika na kufadhaika, kile ulichokilinda au kukificha, kinakuwa wazi na hadharani na kinageuka adui au tatizo sasa, lol
Kwa scenario hii, huyu mume ni mpumbavu, toka lini bi mdogo unamleta ndani ya nyumba yako? Tena aishi na mke mwenza? Bi mdogo mwenyewe toleo jipya? Kabisaa? Wacha nicheke? 😂😂😂😂😂, sio kwa ujasiri huo mweeh.
Nae bi mdogo kukubali kuishi na mke mwenza? Haogopii? Ila sometimes toleo jipya wana ujasiri na hawaogopi kitu yaan, mume wa mtu kamchukua na ana mmiliki humo humo ndani, yaan hana wasi wasi, anavaa bikini, shumizi, jamani hadi shangaa anavaa mwayaa 😂😂😂😂😂 aiiiih halali mume achanginyikiwe, na ukute ana umbo maridhawa, aaah
imeishaa hiyoo.
Mambo ndio hayo huko ndoani, uke wenza hauepukiki, sasa utaamua awe ke mwenzio, au toleo jipya.
😂😂😂😂😂😂
Kumbe huko ndoani, kuna njegeka hivii? Watu na ndoa zao mjinii, afu sio shida zao sasa.
Ktk kitu nachochukia na sipendi ni UNAFIKI na KUTOJIKUBALI/ KUKUBALI UHALISIA, kwann uzunguke? Kwann uishi maisha ya mateso? Mahangaiko, eti kisa kuridhisha waja na jamii! Ili iweje yaan? Na kwa kipi hasa? Usawa huu uhahe kuhusu watu watakuonaje? Au kukuchukuliaje? Si utumwa kabisa huu.
Mwisho wa siku ni unaishia kudhalilika na kufadhaika, kile ulichokilinda au kukificha, kinakuwa wazi na hadharani na kinageuka adui au tatizo sasa, lol
Kwa scenario hii, huyu mume ni mpumbavu, toka lini bi mdogo unamleta ndani ya nyumba yako? Tena aishi na mke mwenza? Bi mdogo mwenyewe toleo jipya? Kabisaa? Wacha nicheke? 😂😂😂😂😂, sio kwa ujasiri huo mweeh.
Nae bi mdogo kukubali kuishi na mke mwenza? Haogopii? Ila sometimes toleo jipya wana ujasiri na hawaogopi kitu yaan, mume wa mtu kamchukua na ana mmiliki humo humo ndani, yaan hana wasi wasi, anavaa bikini, shumizi, jamani hadi shangaa anavaa mwayaa 😂😂😂😂😂 aiiiih halali mume achanginyikiwe, na ukute ana umbo maridhawa, aaah
Mambo ndio hayo huko ndoani, uke wenza hauepukiki, sasa utaamua awe ke mwenzio, au toleo jipya.
😂😂😂😂😂😂