mwaride
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 421
- 106
Huyu jamaa akipita kwenye chocho za uswazi kwetu, sisi wenye kutumia vyoo vya pasipoti saizi hakuna usalama kabisa
hahaha mkuu unamaanisha "topless toilets"?
Huyu jamaa akipita kwenye chocho za uswazi kwetu, sisi wenye kutumia vyoo vya pasipoti saizi hakuna usalama kabisa
hahaha mkuu unamaanisha "topless toilets"?
I can clearly see em masonic signs...
Sheria ya mapenzi huwa haina ubaguzi, acheni watu wapende kutokana na vigezo vyao
Wewe kama ni mfupi, yupo atayekupenda hivyo ulivyo wala usiweweseke maana hukupenda wewe
hakuna baba paroko, kila ntu na ntuwe.
Hakuna aliekosa, hapa twajadili madhila wapatayo tu hapa duniani, hahahhahaaa.
Madhila gani?
Kuna aliyekosa kazi?
Kuna aliyekosa mahali pa kulala?
Kuna aliyefukuzwa kwao kwasababu ni mfupi?
Kuna aliyeshindwa kusoma kwasababu ya ufupi?
Hebu niambie ni madhila gani unayoyazungumzioa?
nahisi wanataka wapendwe na kila mwanamke. ukipendwa na mmoja na huo ufupi wako inatosha. au sio shemeji? hivi shem wewe ni mfupi au mrefu?
Hizo hizo mkuu, zile zinakuwa hazina paa kwa juu halafu zimeishia 'kozi' ya tano tu
Ni kweli kuna aina ya kazi huwezi pata kama mfupi..hata kwenye vyombo vingi vya habari ukiwa mfupi ujue una kitu peculiar..mfano..chunguza presenters wa Eatv na hata Star Tv utagundua kitu na hata presenters wa kimataifa..sasa wewe mtu kama steve nyerere asipowekwa kituko unataka acheze awe JAMBAZI?
Poleni vijeba!