Heightism ni aina mpya ya ubaguzi

Heightism ni aina mpya ya ubaguzi

Kuna mwanamke au mwanaume mfupi aliyekosa mwenza tangu dunia imeumbwa?

Inshu co kumpata,inshu ni je,inamchukua mda gan mpaka ajekumpata aliyeridhika na ufupi wake!?

we kama ni mfupi ujue makapi yaliyo achwa na warefu yana kuhusu.hahahahaha.......!!!!
 
Hongera sana
Utapata mafanikio yote ila ufupi kwenye maisha ni bonge la minus.

kweli kabisa, ninachojitahidi ni kuweka positives nyingine ili nisiwe kwenye negative

ukiwa mfupi, ugly, hujasoma, huna pesa, huna familia, huna imani na huna mwelekeo ni as good as nothing

kwenye checklist ya maisha, kimo hakibebi future yako... kinabeba muonekano na hisia za mvuto wa kingono zaidi ya mapenzi, heshima, intelligence nk
 
Wakati sisi tunajadili haya ukifungua forum za wachina na wajapan wanajadili technologia yaan zama hizi za sayans na technologia mtu anaongea urefu jeshin hv hata tanzania tukawa na jeshi la warefu wote tutawapiga wachina au wajapan hata wakiwa na jeshi la wafupi wote? Wakati wazungu wanatupotosha sis kwenye mambo yasiyo ya maana wao wanafanya ya maana. Inanifanya niamini mtu mweusi aliumbwa ili aje kuwa mtumwa kwani hata akiwa huru bado mawazo yake ya kitumwa tu
 
Naomba tutaje faida za vijemba tafadhali.
Nina amini zipo kadhaa.
Hawawezi kuwa reject product kwa asilimia mia

Vipanga,sijawahi ona walakusikia mtu mrefu ni kipanga kuanzia shuleni hata kazini,wengi watu wafupi wanaakili sana.
 
kweli kabisa, ninachojitahidi ni kuweka positives nyingine ili nisiwe kwenye negative

ukiwa mfupi, ugly, hujasoma, huna pesa, huna familia, huna imani na huna mwelekeo ni as good as nothing

kwenye checklist ya maisha, kimo hakibebi future yako... kinabeba muonekano na hisia za mvuto wa kingono zaidi ya mapenzi, heshima, intelligence nk

Kwani urefu unaanzia kima gani, maana mimi nina 5.10' (feet) naona sijawa na urefu wa kuitwa mrefu japo watu wananiita tall.
 
Wakati sisi tunajadili haya ukifungua forum za wachina na wajapan wanajadili technologia yaan zama hizi za sayans na technologia mtu anaongea urefu jeshin hv hata tanzania tukawa na jeshi la warefu wote tutawapiga wachina au wajapan hata wakiwa na jeshi la wafupi wote? Wakati wazungu wanatupotosha sis kwenye mambo yasiyo ya maana wao wanafanya ya maana. Inanifanya niamini mtu mweusi aliumbwa ili aje kuwa mtumwa kwani hata akiwa huru bado mawazo yake ya kitumwa tu

tujadili technology, kwani hujui tuko jukwaa gani?
 
asante baba na mama kwa kunizaa mrefu kama hasheem thabeet!

msilie sana jamani, haya mambo yapo automatikale, genetics zinasema!

kwanza ukiwa mrefu afu huna hela ni shida tupu..!

ukiwa mrefu halafu ukawa afya mgogoro, ni shida tupu!

ukiwa mrefu halafu ukawa mlevi tena na afya mgogoro juu, ni shida!

Mkuu,hela ni kitu kinapatikana kwa jitihada,unaweza kupata au kukosa ni jitihada zako tu ila huwezi kufanya jitihada uwe mrefu au mfupi,hyo ni mibaraka nacholale,urefu is nacholo adivanteji and superiority,ufupi ni natural disadvantage and inferiority.,kama nilivyosema awali mke wangu akitembea na dwafu namtimua mchana kweupe hata ushauri sitataka.
 
mi mfupi lakinii, aaaah... namshukuru Mungu..
 
Mkuu,hela ni kitu kinapatikana kwa jitihada,unaweza kupata au kukosa ni jitihada zako tu ila huwezi kufanya jitihada uwe mrefu au mfupi,hyo ni mibaraka nacholale,urefu is nacholo adivanteji and superiority,ufupi ni natural disadvantage and inferiority.,kama nilivyosema awali mke wangu akitembea na dwafu namtimua mchana kweupe hata ushauri sitataka.

hahahaaaa!! mkuu nahisi mi nimepitiliza! duh...!

ila urefu nao una raha na karaha ujue! usipojipanga unaweza zeeka vibaya kulaleki!

incase imagine mkeo kakuletea mbegu ya futi moja wakati wewe futi tano, utamfanya nini?
 
Vipanga,sijawahi ona walakusikia mtu mrefu ni kipanga kuanzia shuleni hata kazini,wengi watu wafupi wanaakili sana.
ntera? hili jina mbona kama la serengeti huko!? are you a kurya mr someone?
 
Last edited by a moderator:
hahahaaaa!! mkuu nahisi mi nimepitiliza! duh...!

ila urefu nao una raha na karaha ujue! usipojipanga unaweza zeeka vibaya kulaleki!

incase imagine mkeo kakuletea mbegu ya futi moja wakati wewe futi tano, utamfanya nini?

Nishasema mkuu,akizaliwa mtoto mfupi kwangu huyo mwanamke namtimua,huo ni ushahidi wa waz kua huyo kidi sio wangu,kwetu hatuna na hatujawahi kua na hiyo mbegu
 
Kwani urefu unaanzia kima gani, maana mimi nina 5.10' (feet) naona sijawa na urefu wa kuitwa mrefu japo watu wananiita tall.

wataalam wanatofazutiana, in Tz av height haizidi 5'7", in the US wamesema ni 5'9" in india ni 5'6 kama sikosei

so maybe mleta mada can add more flavor hapo
 
Back
Top Bottom