mie ni mfupi sana na namshukutu mungu sana kwani amenibariki kwa mengi sanaUfupi nyundo ni janga la kitaifa.
Mshukuru Mungu kama una kimo kizuri
Ukiwa short chasis basi ni ubishi na utata kwa kwenda mbele
Humu kuna siku mada zinakua zimejaa ujinga tu! Yan hadi unajiuliza mtu aliyeandika ana akili kweli au!?
Kipi?????????????
mie ni mfupi sana na namshukutu mungu sana kwani amenibariki kwa mengi sana
It is all about a checklist and what defines life in one self
Ahsante sana mkuu Free ideas kwa ku appreciate ka mchango kangu kadogo. hiyo ni experience yangu niliyoipata na ninayoendelea kuipata kwa hawa watu wafupi pengine ninawaonea naomba tu shee wote exoerience labda kwa upande wako unawaonaje wenzetu wenye kimo kifupiNimependa sana comment yako mkuu hongera sana
Ufupi nyundo ni janga la kitaifa.
Mshukuru Mungu kama una kimo kizuri
Ukiwa short chasis basi ni ubishi na utata kwa kwenda mbele
Am so proud of my height. Niku mkumbatia wangu muhibu huwa naona furaha yake. Urefu raha jamani tena ikiwepo na pesa ya kubadilisha dinner kwenye out za maana we acha tu. She's always happy. Siku zote kichwa chake hukilaza kifuani. Na kuanza kusema shida zake weew basi mwanaume najiona... weeeeews napenda height yangu na mwili wangu kwa ujumla. Tulizike na vile tulivyo wapendwa
Siku hizi kumekuwa na ubaguzi wa kimo/height cha mtu yale ya rangi na dini yanapungua.
Wanaume kwa wanawake katika nyanja nyingi,Kazi,mapenzi,siasa,Urafiki,sanaa na michezo wamekuwa wakibagua na kubaguliwa.
Mapenzi;Mfano humu utasikia natafuta me/ke lakini awe na urefu wa .....
Jeshi pia kimo nacho kigezo.
Sanaa;wafupi ndio wachekeshaji na kukejeliwa.Dwarfs at circus.
Siasa wanachagua warefu wakidhani ndio viongozi bora.Mkapa was short but I like him.
Kwa hiyo watu wamekuwa na insecurities kwa sababu ya kimo.
Anyway mi nina 5.6ft.Kwa wale wanaojiona wafupi wajiamini.
Mifano ya watu maarufu wafupi.Mg.A.H.Mwinyi,B.W.Mkapa,Joti,Steve Nyerere,Aunt Ezekiel,Lulu Michael,salama jabir,calvin Hart,Aki na ukwa,Jack chan,harry potter,Messi,Most of Chinese people.
Ila diamond platnum alikuwa mfupi kwa adebayor sina picha bahati mbaya.
Stop Heightism.
Utakua andunje
OOOOOhh my God cyna6 nisamehe sana mkuu sikuwa na intention ya kuwachoma bwana we lizika na height yako mkuu i hope wapo wanao ku appreciate samahani sana mkuu kama nimekuumiza.Unajua jinsi gani unatuchoma?