sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
ufupi ni shida,mi mwanamke hata awe mzuri vipi akiwa mfupi hata sihangaiki kumtongoza. Pili mpenz wangu au nikija kuoa kisha mke wangu atembee na mwanaume mfupi nikajua namuacha ila mrefu naweza kumsamehe
ufupi ni shida,mi mwanamke hata awe mzuri vipi akiwa mfupi hata sihangaiki kumtongoza. Pili mpenz wangu au nikija kuoa kisha mke wangu atembee na mwanaume mfupi nikajua namuacha ila mrefu naweza kumsamehe
Sheria ya mapenzi huwa haina ubaguzi, acheni watu wapende kutokana na vigezo vyao
Wewe kama ni mfupi, yupo atayekupenda hivyo ulivyo wala usiweweseke maana hukupenda wewe
He he hehhe.. Naona umejimilikisha my dady ghafla kawa shemu wako... Makubwaaaaaaaa..... Mwanaume urefu bana alaaaaaah
Dady wangu sio mfupi plz
Shemeji hata sielewi kama mimi ni mrefu au mfupi...nijuacho ni kuwa nimeridhika na kimo nilichonacho
Ha ha ha ha ha h
Kuna mwanamke au mwanaume mfupi aliyekosa mwenza tangu dunia imeumbwa?
mmmh!! shemej utakuwa mfupi.
Kuna mwanamke au mwanaume mfupi aliyekosa mwenza tangu dunia imeumbwa?