Heifer internatinal..

Heifer internatinal..

LOBBIST

Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
15
Reaction score
1
Wadau tusichoke kupeana mawazo hapa jf ndo tunapotokea tulio wengi,yeyote anayefanya kazi au alishawahi fanya kazi,ama aliye na details za Heifer intetnational.in sense of compansations and other opportunities.naenda kufanya udahili huko j3
 
Kuna ndugu yangu yuko huko,take home anavuta kama 1.7milion.
 
kuna ndugu yangu yuko huko,take home anavuta kama 1.7milion.

mbona ndogo sana...mfagiaji nini?...mie ndugu yangu yupo huko anavuta kama 25m take home...huyu ni manager pale.
 
hawa jamaa wako vizuri sana wamehamia dar sikuhizi HQ ilikua arushaa, wanalipa vizuri saaaana babuuu
 
Wadau tusichoke kupeana mawazo hapa jf ndo tunapotokea tulio wengi,yeyote anayefanya kazi au alishawahi fanya kazi,ama aliye na details za Heifer intetnational.in sense of compansations and other opportunities.naenda kufanya udahili huko j3

Umeitwa nafasi ipi
 
Senior admnistrativ officer ndo nafadi niloitwa..ahsante kwa kunipa meanga juu ya cimpensation ya awa jamaa
 
Back
Top Bottom