Nawashukuruni wote kwa wishes zenu katika bday yangu
Neno kuu..
Msilipe mtu ovu kwa ovu. Angalieni yaliyo mema machoni pa watu wote. Kama yamkini, kwa upande wenu, mkae katika amani na watu wote. Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao; mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo''. ''Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu(mwachie Mungu jambo hilo linalokuletea hasira); maana imeandikwa, kisasi ni juu yangu mimi, mimi nitalipa, anena Bwana. Lakini, adui yako akiwa na njaa, mlishe; akiwa na kiu, mnyweshe; maana ufanyapo hivyo, utampalia makaa ya moto kichwani pake. Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema''.
''lakini nawaambia ninyi mnaosikia wependeni adui zenu, watendeeni mema wale ambao wawachukia ninyi.''
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.