Happy bday fl1
Hongera FL1.
Unatimiza miaka ngapi lakini?
Dah!
Hata sijamaliza kunyonya ziwa la pili tayari ushaninyang'anya?
Heri ya siku yako ya kuzaliwa mama wa kwanza. Tuliozaliwa January wote tutaenda Mbinguni.
Sherehe wapi?
Bado mbichi, atakuwa kwenye,,, Ana miaka kati ya 42 - 45(joking).
Hongera kwa kufika umri uliofikisha leo.
Happy birthday mama wa kwanza. Ubarikiwe miaka mingine mingi, furaha , amani na upendo tele.
FL1
Nakutakia heri ya siku yako ya kuzaliwa,
Haki ya nani mie iko penda sana wewe!!!!!
heri ya siku yako ya kuzaliwa,,nakutakia miaka mingi kama bi kidude
My dia hakuna neno tamu na lenye thaman km kushukuru,Cantalisia nikupe nini jamani ...hii keki nashindwa hata kusema
Asante sana ...